makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,901
- 104,146
Heineken!! Hahaa, haifikii hata robo.Aiseee usikute starehe unayoisikia kama vile me nikipiga viheinken vyangukweli kila mtu na starehe yake

Heineken!! Hahaa, haifikii hata robo.Aiseee usikute starehe unayoisikia kama vile me nikipiga viheinken vyangukweli kila mtu na starehe yake

Sitaki mambo ya boda boda korosho kila siku kuja haziji ni korosho tuuu nimechoka na habari za korosho ambazo hazikuji...aunt, hivi bado unapenda korosho? Maana msimu ndo umeanza, hebu niambie ulitaka kisado au gunia zima. Nitaweza kukuletea nyingi tu ukitaka. Huu msimu mzuri sana nimeuza korosho nimenunua bodaboda tatu, nikija mjini nakuachia moja maana ile ya pili itabaki nyumbani kwa ajili ya wageni.
Kama hujui kuendeesha bodaboda nitakupeleka veta, sawa sawa
Maka acha bwana ila kila mtu na starehe yake jamanHeineken!! Hahaa, haifikii hata robo.![]()
![]()
![]()
Najuaa...anko, kuna mambo sio ya kuweka hadharani kwa mtindo wa kutoongopa. Mimi kwa Husobe nimejifunga pingu za muendelezo, yaani niko kama mgonjwa wa tumbo anavyokaa karibu na maliwato
Labda sababu mie si mnywaji wa pombe..Maka acha bwana ila kila mtu na starehe yake jaman
Kweli watu tupo tofauti ni ule moshi unajiskia raha hakuna duniani acha niendelee tu kupiga beer zanguLabda sababu mie si mnywaji wa pombe..
Ni friday...kwani hujaangalia kalenda leo ni siku gani? Au hapo ulipo ni alihamisi na sio furahiday
Kilichonifanya nikaamua kuacha ni kutokana na ule moshi nikihofia afya ya mapafu yangu. Ila ile stimu inayopatikana ndani yake hali ninayojiskia baada ya chemical reaction kutake place kwa head yangu, ni kitu ambacho hakielezeki..Kweli watu tupo tofauti ni ule moshi unajiskia raha hakuna duniani acha niendelee tu kupiga beer zangu
Ni friday
Kilichonifanya nikaamua kuacha ni kutokana na ule moshi nikihofia afya ya mapafu yangu. Ila ile stimu inayopatikana ndani yake hali ninayojiskia baada ya chemical reaction kutake place kwa head yangu, ni kitu ambacho hakielezeki..
Laiti kama kungekuwa na njia nyingine tofauti na haileti moshi basi ningevuta mpaka mwisho wa uhai wangu.. siku hizi nimebakia kuvuta mara moja moja, ninapojiskia yawezekana ikawa ni mara moja ndan ya miez miwili au mmoja.
Nasikia nyie wavuta weed wapenzi wenu wanapenda eti kuna kitu cha ziada mnakuwa nacho ni kweli?Kilichonifanya nikaamua kuacha ni kutokana na ule moshi nikihofia afya ya mapafu yangu. Ila ile stimu inayopatikana ndani yake hali ninayojiskia baada ya chemical reaction kutake place kwa head yangu, ni kitu ambacho hakielezeki..
Laiti kama kungekuwa na njia nyingine tofauti na haileti moshi basi ningevuta mpaka mwisho wa uhai wangu.. siku hizi nimebakia kuvuta mara moja moja, ninapojiskia yawezekana ikawa ni mara moja ndan ya miez miwili au mmoja.
Sitaki mambo ya boda boda korosho kila siku kuja haziji ni korosho tuuu nimechoka na habari za korosho ambazo hazikuji
Sitaki habari za boda kama korosho zinakuja zije kwanza nizione ndio tutaongea habari za mama...awamu hii zitakuja na boda boda inakuja.
Sasa hebu usimfanya mama ako akapata sababu ya kunikataa
Nasikia nyie wavuta weed wapenzi wenu wanapenda eti kuna kitu cha ziada mnakuwa nacho ni kweli?
Sitaki habari za boda kama korosho zinakuja zije kwanza nizione ndio tutaongea habari za mama
....si ungeamua kuwa unatafuna zile mbegu zake, zina ladha nzuri sana na zinatibu kidaka tonge
sijawahi fanya uchunguzi, ndio kwanza naskia toka kwako..

Hahaa.. sina hakika kwa hilo ntafafanua siku nyingine..Nasikia nyie wavuta weed wapenzi wenu wanapenda eti kuna kitu cha ziada mnakuwa nacho ni kweli?
Taratibu unaingia lainiSitaki habari za boda kama korosho zinakuja zije kwanza nizione ndio tutaongea habari za mama

![]()
![]()
sijawahi fanya uchunguzi, ndio kwanza naskia toka kwako..
![]()
![]()