Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maka ujue wanajiandikia tu watu humu wanapita wanasoma kimya kimya kuna siku lijitu chit chat huko we sinza hawajambo nilimuuliza tu lini nilikwambia naishi huko ooh utani kumbe watu wanapita kusoma huku kimya kimya mm ninapokaa najua mwenyewe na baba d tu jaman msinilazimishe nikae sehemu zenu


Wasikulazimishe bhana, Sinza inakufaa na unapapenda. Hulazimishwi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom