Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwanin wanakunyasanyasa mdogo wangu.. in sengaz voice
Maka ujue wanajiandikia tu watu humu wanapita wanasoma kimya kimya kuna siku lijitu chit chat huko we sinza hawajambo nilimuuliza tu lini nilikwambia naishi huko ooh utani kumbe watu wanapita kusoma huku kimya kimya mm ninapokaa najua mwenyewe na baba d tu jaman msinilazimishe nikae sehemu zenu
 
Maka ujue wanajiandikia tu watu humu wanapita wanasoma kimya kimya kuna siku lijitu chit chat huko we sinza hawajambo nilimuuliza tu lini nilikwambia naishi huko ooh utani kumbe watu wanapita kusoma huku kimya kimya mm ninapokaa najua mwenyewe na baba d tu jaman msinilazimishe nikae sehemu zenu
Poa best angu, tuliza mori.

Kakoma jirani yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom