Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
...hii whatsapp ukitumiwa unalipia? Au ni bure? Je inakuja kwenye simu? Hebu nijulishe maana tatizo langu unalijua, nakuwaga wa mwisho kujua

...hii whatsapp ukitumiwa unalipia? Au ni bure? Je inakuja kwenye simu? Hebu nijulishe maana tatizo langu unalijua, nakuwaga wa mwisho kujua

.....natamani ungeweza kunisikia nikiimba tenzi (pia ipo kwenye nyimbo za sifa) hii. Asante sanaPole na majukumu ya leo unapojiandaa kupumzika tafadhali imba wimbo huu kwa kuutafakari*
1. Kaa nami, ni usiku tena;
Usiniache gizani, Bwana;
Msaada wako haukomi;
Nili peke yangu, kaa
nami
2. Siku zetu hazikawii
kwisha,
Sioni la kunifurahisha;
Hakuna ambacho
hakikomi,
Usiye na mwisho kaa
nami.
3. Nina haja nawe kila saa;
Sina mwingine wa
kunifaa;
Mimi nitaongozwa na
nani
Ila Wewe?
Bwana kaa nami.
4. Sichi neno uwapo karibu;
Nipatalo lote, si taabu,
Kifo na kaburi haviumi,
Nitashinda kwako, kaa
nami.
5. Nilalapo nikuone wewe,
Gizani mwote nimulikiwe,
Nuru za mbinguni
Hazikomi,
Siku zote kaa nami.
*Usiku mwema*NAWAPENDA SANA![]()
![]()
Nakupendaa ujueeHuyo huyo
Na mm kimenikuta kwa njiaa
MuelewesheeeHivi una nini lakini
Mimi ndo nakupata vizuri na kama leo mlivopiga balimi.....natamani ungeweza kunisikia nikiimba tenzi (pia ipo kwenye nyimbo za sifa) hii. Asante sana
Akii mama yangu ananishangaza jaman nimeshamtumia hizo nyimbo zake
PoyeeeeNa mm kimenikuta kwa njiaa
Hujafukua makaburi mama kakuandikia orodha ya nyimbo za kuzifanyia mazoezi ya kucheza ukiwemo hujaulamba umtumie wosapMazoezi ya nini tena hayo mama angu![]()
Kuna mmoja nilimdanganya nakwea pipa na kuonesha usilias aniamini nikaweka flight mode kale ka alama kanakoonesha ndege kwa simu najua alipopiga walimwambia nipo angan...anko, mbona mawasiliano hayatoki? Au tayari anko mkubwa kashika simu yako maana kaamua kuniblock na kufuta namba yangu kisa ile ishu niliyokuambia, semina. Si unakumbuka?
Hivi binamu we ni mkristo woiiiii najuaga muislam ukiongea kuhusu surat za kiislam kama nimekosea mtanisamehe.....natamani ungeweza kunisikia nikiimba tenzi (pia ipo kwenye nyimbo za sifa) hii. Asante sana
Sina huo mdaMuelewesheee
AsantePoyeeee
Aaaah me ctumii x mke mweee acha kuncingziaHapana kwenye s weka s sio mambo ya x sio siri sipendi mimi hata tumosa ana huo uhandishi
Mfyuuuuuuu...anko, mbona mawasiliano hayatoki? Au tayari anko mkubwa kashika simu yako maana kaamua kuniblock na kufuta namba yangu kisa ile ishu niliyokuambia, semina. Si unakumbuka?
AiseeeeeHujafukua makaburi mama kakuandikia orodha ya nyimbo za kuzifanyia mazoezi ya kucheza ukiwemo hujaulamba umtumie wosap
MmmhKuna mmoja nilimdanganya nakwea pipa na kuonesha usilias aniamini nikaweka flight mode kale ka alama kanakoonesha ndege kwa simu najua alipopiga walimwambia nipo angan
Anko wewe tumia ile uliyoozoeaa
Kweli mtenda huwa anasahauAaaah me ctumii x mke mweee acha kuncingzia