Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pole na majukumu ya leo unapojiandaa kupumzika tafadhali imba wimbo huu kwa kuutafakari*

1. Kaa nami, ni usiku tena;
Usiniache gizani, Bwana;
Msaada wako haukomi;
Nili peke yangu, kaa
nami

2. Siku zetu hazikawii
kwisha,
Sioni la kunifurahisha;
Hakuna ambacho
hakikomi,
Usiye na mwisho kaa
nami.

3. Nina haja nawe kila saa;
Sina mwingine wa
kunifaa;
Mimi nitaongozwa na
nani
Ila Wewe?
Bwana kaa nami.

4. Sichi neno uwapo karibu;
Nipatalo lote, si taabu,
Kifo na kaburi haviumi,
Nitashinda kwako, kaa
nami.

5. Nilalapo nikuone wewe,
Gizani mwote nimulikiwe,
Nuru za mbinguni
Hazikomi,
Siku zote kaa nami.

*Usiku mwema*NAWAPENDA SANA
.....natamani ungeweza kunisikia nikiimba tenzi (pia ipo kwenye nyimbo za sifa) hii. Asante sana
 
...anko, mbona mawasiliano hayatoki? Au tayari anko mkubwa kashika simu yako maana kaamua kuniblock na kufuta namba yangu kisa ile ishu niliyokuambia, semina. Si unakumbuka?
Kuna mmoja nilimdanganya nakwea pipa na kuonesha usilias aniamini nikaweka flight mode kale ka alama kanakoonesha ndege kwa simu najua alipopiga walimwambia nipo angan

Anko wewe tumia ile uliyoozoeaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom