Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Muziki: Mvua ya Joto
Mmmh! Leo nitaaandika haraka haraka maana kuna ndoto nataka niiote nikilala na ninavyojijua nikiandika taratibu siwezi kuiota hii ndoto. FYI, hii ndoto ni mwendelezo tu wa ndoto zangu nyingi ukiacha ile moja ambayo ilinipaga jina baya ugenini. Nitakwambia kuhusu hiyo ndoto siku moja labda ijumaa nikiwa niko tingasi, na itabidi nikueleze mapema kabla mjomba wangu hajanikumbusha. Kwanza nakusalimia sana na ama baada ya salamu ninakukaribisha tena kwenye kipengele hiki cha muziki, haijalishi unakipenda au kinakuchukiza lakini kwa kuwa wewe upo hapa basi hakijaharibika kitu.
Nikushukuru sana Tumosa kwa kudhamini magazeti, wageni waliposikia mama JJ ni nani mimi nimeona niwape nyeupe na nyeusi, shululu alimaanisha kuwa wewe ndo unayempa usingizi. Asante BlessedHope kwa sala za muda wote na ambazo kiukweli leo zimeongezewa nakshhi na Transcend pamoja na SHIMBA YA BUYENZE , mnafanya vema sana wadau. Mnajua huwa sichoki kuwashukuru aunty yangu Shunie kwa hadithi bila kumsahau aliye moyoni mwangu hadi najisahau kukutambulisha kwake, la habibt husna muba, anko wangu Lyon Lee hongera kwa kutaka kutenganisha ngao ya maji na ngao ya kidonge. Ninakushukuru pia kwa kuendelea na neno lako kuwa nikienda Kigamboni nguo zangu zilowekwe na zianikwe kwenye mvua. You made my day na smile nililokuwa nalo nakumbuka ulinilazimisha kutabasamu pale tulipokuwa Morogoro kwenye ile bar tuliyokunywa Safari lager na chapati
Muziki sasa, hebu nitarudi tena
Asante anko sina la kuongezaa ...mm nshapigiwa
♀️ utatoa hutoi alisema nimtumie we mama jamaan