Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aliongea mary lakini mtoto wa kike haondoi macho yake katika macho ya kijana sheby,...
"waaooo Boss karibu"
Kiukweli walimueshim sana sheby kwasababu bila sheby wasingelipata kazi pale kampuni kubwa,..
Basi walipoingia ndani sheby kafungua laptop yake na kuanza kuwafundisha wadada hao... Aliwapa kila njia inayotakiwa kufanya kazi katika kampuni hio
"sasa wewe rose, utamfundisha mary Kingereza, mana muda wa kufanya hivyo kwa mimi sina"
"sawa boss, lazima sasa hivi tuanze tabia ya kuongea Kingereza humu ndani"
"enheee hapo mtajua, mue mnaongea Kingereza wenyewe humu ndani ndio mtajua kirahisi sana, na unapoona mwenzio kakosea, unamrekebisha tuu"
"sawa boss tumekuskia"
Lakini mary mawazo yake yalikuwa bize kwa kijana sheby, na wakati huo sheby hajui hili wala lile kama kuna mtu anampenda kupitiliza,...
Lakini haikupita muda mrefu, mary katoka na kuelekea toilet,.. Lakini huko toilet haikuwa toilet, bali alishika simu yake na kumtumia rose meseji kuwa Aanze kazi aliomuagiza

Sasa tukija huku kwa akina zai (zaituni na zainabu).. Leo mama kamueka chini mtoto wake zaituni na kumpa ukweli juu ya sheby,..
"mwanangu zai,.. Yule kijana ana nia njema na wewe, na yupo tayari kuishi na wewe hata hivyo ulivyo"
Aliongea mama zai huku akimshika mtoto wake
"lakini mama, si unajua sheria za ndoa zilivyo, sasa nitawezaje kumtimizia mume wangu sheria kama hizo"
"ni kweli zai, lakini hata yeye kakubali mwenyewe kuwa atajua ni jinsi gani atafanya"
 
kasema ananichukuwa lini"
"kesho Jumapili mapemaa anakuja kukuchukuwa"
"lakini mama... Nitawezaje kuishi na mwanaume na wakati hatujafunga ndoa mama"
"najua hilo mwanangu, lakini dada yako zainabu keshajua hivyo ukiendelea kukaa hapa, atazidi kukudhuru, ni bora ukakae na huyo kijana huku mkiendelea kusubiri ndoa yenu"
"mamaaaa, vijana wa sasa hivi... Sidhani kama ataniacha mama"
"zaituni mwanangu... Huyo kijana keshakula kiapo mbele yangu kuwa, Hatokaa akuguse mpaka afunge ndoa na wewe"
"kweli mama"
"kweli, labda abadirike tu lakini kala kiapo juu yako mbele yangu namuona na kumsikia"
Zaituni alijiskia raha sana mana hizi bahati za kuolewa alijua zimekwisha toka alipoupata upofu, lakini kumbe bado zinaendelea kuja,...
"afu mama, huyo kijana anafanya kazi gani"
"ni muuza viazi vya chipsi, anatembeza kwa mkokoteni"
"sawa mama, mwambie aje anichukuwe nimeshakubali kiwa mke wake"
"tena kijana mwenyewe hensamu huyo, yaani kakosa pesa, lakini kazuri"
"mamaaaa usiniambie hivyo mama, nitalia bure, mana natamani kumuona mume wangu"
 
Aliongea hivyo zaituni huku machozi yakimtoka kwa ukosefu wa macho.. Wakati huo akiwa kavaa miwani yake nyeusi na kifimbo chake kwa pembeni huku mama akimbembeleza mtoto wake ili kumpooza machungu.

Sasa tukija huku kwa akina rose na mary, sheby akiwa ndani kwao akiwafundisha wadada hao jinsi ya kufanya kazi katika kampuni yao..
Lakini ukumbuke mary kaenda toilet, afu huku sebuleni rose anapokea meseji kutoka kwa mary
"jamani dada rose, anza basi ile kazi niliokuomba dada yangu"
Rose aliposoma huo ujumbe alitabasamu sana huku akitikisa kichwa na kujisemea kimoyomoyo kuwa
"mary mdogo wangu, rafiki yangu kipenzi, jua hata mimi ni binadamu kama wewe, na nimeumbiwa kupenda kama wewe,.. Ulichokipenda hata mimi nakipenda,.. Kukufanyia kazi yako itakuwa ngumu, mana hata mimi nampenda huyu mtoto wa kiume... Utanisamehe sana"
Rose alijisemea maneno hayo katika moyo wake, kisha taaratibu alianza kazi ya kumsogelea kijana sheby... Sasa ona marafiki wawili wanavyogeukana kisa mapenzi... Sasa rose kabla hajaanza kufanya kazi yake.. Alishika simu na kumrudishia SMS kuwa...
"chelewa chelewa huko huko nikufanyie mambo huku"
Mary kuisoma ile sms alifurahi mno, hivyo akatoka chooni na kuingia bafuni ili aoge muda usogee, wakati rose anamtongozea kwa sheby...
 
"vipi mbona unaniangalia hivyo"
Aliongea sheby baada ya kuona vitendo vya rose vimezidi kipimo kuliko maneno, Mana rose alikuwa akimuangalia boss wake kwa jicho la huba,..
"no boss,.. Sema una sura ya kutazamika kila mara.. Samahani boss kama nimekuudhi"
Maneno yenyewe yalikuwa yakitokea puani kabisa,.. Maskini ya mungu ustaarabu wa kijana wetu utamuisha hivi punde tu, mana rose alikuwa kila dakika hafanyi makosa ya vitendo, yaani dakika moja inaisha kwa faida

Sasa huku bafuni maskini mary anaoga kwa kujua kule rose anamseidia kumtongozea mana mary yeye ni muoga wa kumtongoza mwanaume kwa vitendo,...
Maskini mary kapakalia sabuni yake vizuri lakini kila akijishika kifua chake anahisi ni sheby ndio anafanya hivyo, yaani kila anapojishika anahisi anashikwa na sheby...
Sasa Wakati huo huku kwa sheby akiwa kuna kitu anaandika kwenye laptop yake, ili kumwonyesha rose jinsi inavyotakiwa kuandikwa,.. Sasa kamaliza kuandika akamgeukia rose huku akisema
"sasa unaona hapa jinsi ya ku..... "
Laaaaaa Haulaaaaaa, Sheby alistop kuongea baada ya kumwona Rose akiwa katika hali ya utofauti na mwanzo...

Je? Ni nini Kitaendelea hapo??...Je? Rose
 
kasema ananichukuwa lini"
"kesho Jumapili mapemaa anakuja kukuchukuwa"
"lakini mama... Nitawezaje kuishi na mwanaume na wakati hatujafunga ndoa mama"
"najua hilo mwanangu, lakini dada yako zainabu keshajua hivyo ukiendelea kukaa hapa, atazidi kukudhuru, ni bora ukakae na huyo kijana huku mkiendelea kusubiri ndoa yenu"
"mamaaaa, vijana wa sasa hivi... Sidhani kama ataniacha mama"
"zaituni mwanangu... Huyo kijana keshakula kiapo mbele yangu kuwa, Hatokaa akuguse mpaka afunge ndoa na wewe"
"kweli mama"
"kweli, labda abadirike tu lakini kala kiapo juu yako mbele yangu namuona na kumsikia"
Zaituni alijiskia raha sana mana hizi bahati za kuolewa alijua zimekwisha toka alipoupata upofu, lakini kumbe bado zinaendelea kuja,...
"afu mama, huyo kijana anafanya kazi gani"
"ni muuza viazi vya chipsi, anatembeza kwa mkokoteni"
"sawa mama, mwambie aje anichukuwe nimeshakubali kiwa mke wake"
"tena kijana mwenyewe hensamu huyo, yaani kakosa pesa, lakini kazuri"
"mamaaaa usiniambie hivyo mama, nitalia bure, mana natamani kumuona mume wangu"
Mambo

Nyagei
 
6881eacc941d6e5d248b95036c6e5721.jpg
Haitakaa itokee. Shinzo Abe mwenyewe amesema wamechoka na vitisho vya makombora ya toto tundu wa North Korea na anataka kuirudisha Japan katika harakati za kijeshi rasmi. Kulingana na uwezo wao wa kiteknolojia, hawatashindwa kuwa na mabomu ya nyuklia wakitaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom