Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Aliongea mary lakini mtoto wa kike haondoi macho yake katika macho ya kijana sheby,...
"waaooo Boss karibu"
Kiukweli walimueshim sana sheby kwasababu bila sheby wasingelipata kazi pale kampuni kubwa,..
Basi walipoingia ndani sheby kafungua laptop yake na kuanza kuwafundisha wadada hao... Aliwapa kila njia inayotakiwa kufanya kazi katika kampuni hio
"sasa wewe rose, utamfundisha mary Kingereza, mana muda wa kufanya hivyo kwa mimi sina"
"sawa boss, lazima sasa hivi tuanze tabia ya kuongea Kingereza humu ndani"
"enheee hapo mtajua, mue mnaongea Kingereza wenyewe humu ndani ndio mtajua kirahisi sana, na unapoona mwenzio kakosea, unamrekebisha tuu"
"sawa boss tumekuskia"
Lakini mary mawazo yake yalikuwa bize kwa kijana sheby, na wakati huo sheby hajui hili wala lile kama kuna mtu anampenda kupitiliza,...
Lakini haikupita muda mrefu, mary katoka na kuelekea toilet,.. Lakini huko toilet haikuwa toilet, bali alishika simu yake na kumtumia rose meseji kuwa Aanze kazi aliomuagiza
Sasa tukija huku kwa akina zai (zaituni na zainabu).. Leo mama kamueka chini mtoto wake zaituni na kumpa ukweli juu ya sheby,..
"mwanangu zai,.. Yule kijana ana nia njema na wewe, na yupo tayari kuishi na wewe hata hivyo ulivyo"
Aliongea mama zai huku akimshika mtoto wake
"lakini mama, si unajua sheria za ndoa zilivyo, sasa nitawezaje kumtimizia mume wangu sheria kama hizo"
"ni kweli zai, lakini hata yeye kakubali mwenyewe kuwa atajua ni jinsi gani atafanya"
"waaooo Boss karibu"
Kiukweli walimueshim sana sheby kwasababu bila sheby wasingelipata kazi pale kampuni kubwa,..
Basi walipoingia ndani sheby kafungua laptop yake na kuanza kuwafundisha wadada hao... Aliwapa kila njia inayotakiwa kufanya kazi katika kampuni hio
"sasa wewe rose, utamfundisha mary Kingereza, mana muda wa kufanya hivyo kwa mimi sina"
"sawa boss, lazima sasa hivi tuanze tabia ya kuongea Kingereza humu ndani"
"enheee hapo mtajua, mue mnaongea Kingereza wenyewe humu ndani ndio mtajua kirahisi sana, na unapoona mwenzio kakosea, unamrekebisha tuu"
"sawa boss tumekuskia"
Lakini mary mawazo yake yalikuwa bize kwa kijana sheby, na wakati huo sheby hajui hili wala lile kama kuna mtu anampenda kupitiliza,...
Lakini haikupita muda mrefu, mary katoka na kuelekea toilet,.. Lakini huko toilet haikuwa toilet, bali alishika simu yake na kumtumia rose meseji kuwa Aanze kazi aliomuagiza
Sasa tukija huku kwa akina zai (zaituni na zainabu).. Leo mama kamueka chini mtoto wake zaituni na kumpa ukweli juu ya sheby,..
"mwanangu zai,.. Yule kijana ana nia njema na wewe, na yupo tayari kuishi na wewe hata hivyo ulivyo"
Aliongea mama zai huku akimshika mtoto wake
"lakini mama, si unajua sheria za ndoa zilivyo, sasa nitawezaje kumtimizia mume wangu sheria kama hizo"
"ni kweli zai, lakini hata yeye kakubali mwenyewe kuwa atajua ni jinsi gani atafanya"