Mh ! Mbona mie ananilipiaga?Anapenda vya bure yaan akiwa na babe wake wanakunywa kila mtu alipe bill yake huyo ndio binamu bwana
...yeah, maana nilidhani atataka kusoma shule za private wakati shule za bure zipo kila kata. Asante sana serikali
sawa lakini si utamnunulia vifaa...sijawahi kuyakwepa majukumu, sema yenyewe ndo yananikwepa. Si unakumbuka anko siku zile umenipa jukumu la kukuwakilisha kwenye ile hafla ya ubalozini, mbona sikukwepa? Wananisingizia

....hakyanani tena akikufikia mimi naokoka, naacha kabisa mambo ya kutokunywa masanga

Miss u too deari miss y'all
hope mnaendelea vyemaMiss u too dear
Hatujambo Mungu anasaidia vp hko kwenuhope mnaendelea vyema
...utakauka mate bure, kuku ni kweli aliahidiwa lakini akatokea penzi jipya akapewa. Mimi nilijitahidi kumsisitiza anko atimize ahadi, akatishia kunisomea albadiri nikaona isiwe tabu, nikambeba kuku na nikamchinjia kabisa penzi jipya.
Labda nimletee manyoya ili angalau apate cha kujichokonolea sikio

Woyooooooooo na yeye mama analipenda tabasamu lako binamu

Uzima wenyewe huu wa kuunga unga, siku Mkiona kimya sana bila taarifa, njooni nyumban mpate taarifa zaid, yawezekana nikaw no more, mkiwahi mtaniwekea mchanga, mkichelewa mtanisomea dia,maana hakina taarifa wala habari, ukiwadia muda wake kimya kimya..

Dah!! Pole sana mkuu, unanikumbusha maisha ya antena.. geuzia mjini, kushoto.. hapo hapo.. aiyaa mbona umeichezesha hyo antena, fanya km unarudisha kushoto.. ewaa hapo hapo..![]()
![]()
![]()

Vip wewe mbona mikono kichwani utafikiri umeporwa kipochi chenye mkopo wa vicoba!!

