Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uongo kwangu mwikoNa wewe pia
Uongo kwangu mwikoNa wewe pia
Uongo kwangu mwiko
Za anko hizo anko...hizi ni ahadi aidha za mwanaTANU au anko wangu mzee nyumba nyingi

Chief unaadimikaUsiku mwema!!![]()
![]()
![]()
Chief nipo.. mambo mambo tuu..Chief unaadimika
Na kweli upoChief nipo.. mambo mambo tuu..
Mtaalamu mwenyewe.. mbabe, mwanamapinduzi, jasusi.. fidel castro..
Uzima wenyewe huu wa kuunga unga, siku Mkiona kimya sana bila taarifa, njooni nyumban mpate taarifa zaid, yawezekana nikaw no more, mkiwahi mtaniwekea mchanga, mkichelewa mtanisomea dia,maana hakina taarifa wala habari, ukiwadia muda wake kimya kimya..Na kweli upo
Sio mbaya muhimu uzima chief ,mm jana nimeshinda namtafuta moneytalk ananipiga chenga
Maneno mazito chiefUzima wenyewe huu wa kuunga unga, siku Mkiona kimya sana bila taarifa, njooni nyumban mpate taarifa zaid, yawezekana nikaw no more, mkiwahi mtaniwekea mchanga, mkichelewa mtanisomea dia,maana hakina taarifa wala habari, ukiwadia muda wake kimya kimya..