Makapuku Forum

Makapuku Forum

de7a5a9f3a1536e296102845d3192ab2.jpg


Wazee wa vyupa..
Kina lee
 
....nitajua wapi sasa. Si unajua mimi huwa wa mwisho kuelewa humu ndani?

Huwa hawachagui" Mimi nilichagua mbona, ila ilikuwa std four yaani la nne. Sikufaulu kuendelea baada ya hapo
Umerudi tena baki bencha eeeh inatakiwa ukae mbele ili ucpitwe na mapya
 
Nakusalimia pia anko. Mbona sasa hujarudi kama ulivyoahidi maana nina hela za makinikia hapa pub tunakusubiri na anko mkubwa
Anko kuna mambo nayaweka sawa si unajua nshakuwa mbobezi wa hizi mambo vile ulinifundisha na akili ya kuzaliwa naitafuta moshi road
 
  • Thanks
Reactions: Obe
....nitajua wapi sasa. Si unajua mimi huwa wa mwisho kuelewa humu ndani?

Huwa hawachagui" Mimi nilichagua mbona, ila ilikuwa std four yaani la nne. Sikufaulu kuendelea baada ya hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom