Makapuku Forum

Makapuku Forum

d3365ab1a0420111a04dd41111ed46b4.jpg
Hazina ukali wowote tatzo akili zao ziko fyatu fyatu, wakiongeza na bangi kidogo zinafyatuka..
 
....ha hahah, anko wangu anapenda makelele, mambo ya kimya kimya hataki. Na akirudi kasema anamletea aunty yangu Shunie hausigeli mmoja matata sana, asaidia kazi za ndani. Aunty atafurahi maana bekitatu huyu anavaa shanga miguuni, mambo ya utamaduni
Weeee binamuuu shindwaa we na anko wako sihitaji hg kazi zangu nazimudu kama mmetafuta kisingizio cha kuleta mke wa pili kwangu haiingia mwanamke wa kumisaidia kazi tena mpe salaam anko wako
 
...anko, unasalimiwa na mjomba! Anasema kuku ni kuku tu, kama vipi mnunue hapo hapo mlipo. Kuku wa kienyeji wanasumbua sana abiria
nimecheka sana huyu kuku hakuji mpaka wewe umeambiwa
anko ujue mjomba wako ana matatizo sasa mhusika nasikia anataka yule anayesumbua abiria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom