Makapuku Forum

Makapuku Forum

ae65e9de0b821303452cd3ef7addca53.jpg
 
*TUOMBE*
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu Muumbaji vitu vyote. Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo,tunakuabudu, tunakusifu na kukutukuza wewe. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Jina la Yesu,Tunaomba Damu ya Yesu itunenee mema sawa sawa na mahitaji yetu yote. Tuongoze Roho wa Bwana kila tutakapo kuwa leo ni kupitia Jina la Yesu tunaomba Amina.

SIKU NJEMA WANA WA MUNGU MBARIKIWE
BlessedHope Mungu azidi kukuweka unaifanya siku kuwa nzuri kwa neno lako kila siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom