shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Niaje mdau
Niaje mdau
...alisikika kipindi cha Obama alipotembelea Kenya. Msemo wake "Mungu hakukosea kumuumba Adam na Hawa" na hivyo hakuumba Adam na Nuhu maana hapendi zile mambo za kigeni
![]()

...utasema nini kwa mwanamama mrembo huyu ambaye yupo kwenye 'panel' ya wat 10n wenye ushawishi africa wanaopigania usawa na maendeleo endelevu barani kwetu. Na uhue nini? Ndo mwanamama wa kwanza kuwa 'first lady' katika nchi mbili tofauti, Mocambique na Afrika Kusini
![]()

.....anaongea lugha nne English, Russian, Japanese, and Swahili (Mae Jemison: The First African American Woman in Space and First Real Astronaut on Star Trek) nimeweka link ili anko wangu asijenibishia maana kwenye Kiswahili najua wengi mtamuunga mkono anko kunibishia
PhD kaipata na miaka 25 tu wakati mimi na miaka yangu inayoniruhusu kutogombea UVCCM ndo kwanza nimedahiliwa UDOM
![]()
we na anko wako mnapenda kubishana sanaAsubuhi njema Makapuku wenzangu.
shululu asante kwa magazeti, asante sana. BlessedHope asante kwa kuniombea mibaraka tele.
Tuwe na wakati mzuri siku ya leo

Pamoja sana mdauUbarikiwe
She deserves huyu mama...utasema nini kwa mwanamama mrembo huyu ambaye yupo kwenye 'panel' ya wat 10n wenye ushawishi africa wanaopigania usawa na maendeleo endelevu barani kwetu. Na uhue nini? Ndo mwanamama wa kwanza kuwa 'first lady' katika nchi mbili tofauti, Mocambique na Afrika Kusini
![]()
Pamoja sana mkuuNa wewe pia Mkuu shululu.
Ahsante sana kwa Font ferd
....ha hahah, anko wangu anapenda makelele, mambo ya kimya kimya hataki. Na akirudi kasema anamletea aunty yangu Shunie hausigeli mmoja matata sana, asaidia kazi za ndani. Aunty atafurahi maana bekitatu huyu anavaa shanga miguuni, mambo ya utamaduni

Morning MwifaMorning Kapuku
Morning sirMorning Kapuku
Haya pendaneni tu
Ameni*TUOMBE*
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu Muumbaji vitu vyote. Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo,tunakuabudu, tunakusifu na kukutukuza wewe. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Jina la Yesu,Tunaomba Damu ya Yesu itunenee mema sawa sawa na mahitaji yetu yote. Tuongoze Roho wa Bwana kila tutakapo kuwa leo ni kupitia Jina la Yesu tunaomba Amina.
SIKU NJEMA WANA WA MUNGU MBARIKIWE![]()
![]()
![]()

Marhabaa shemela, vipi hali shemeji..Shikamoo
