Makapuku Forum

Makapuku Forum

...alisikika kipindi cha Obama alipotembelea Kenya. Msemo wake "Mungu hakukosea kumuumba Adam na Hawa" na hivyo hakuumba Adam na Nuhu maana hapendi zile mambo za kigeni

DNNYERINJUE2106hy.jpg
 
*TUOMBE*
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu Muumbaji vitu vyote. Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo,tunakuabudu, tunakusifu na kukutukuza wewe. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Jina la Yesu,Tunaomba Damu ya Yesu itunenee mema sawa sawa na mahitaji yetu yote. Tuongoze Roho wa Bwana kila tutakapo kuwa leo ni kupitia Jina la Yesu tunaomba Amina.

SIKU NJEMA WANA WA MUNGU MBARIKIWE
Ameni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom