Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Yaaan alafu ukute yale madarasa yametengwa mfano A..B na kuendelee utatesaa mpaka kwa zamu zione nongwa



Yaaan alafu ukute yale madarasa yametengwa mfano A..B na kuendelee utatesaa mpaka kwa zamu zione nongwa



Jana umekula sifa kinomaaa kuwa ndo mkomboz wake sasa naona anajutiaa![]()
![]()
![]()
mshikaji
Shida tupuu hizo mamboPure one na Pure 2![]()
Ilikuchoma banaaSifa usifiwee wewe kuchomwa nichomwe mm hapana
sema kweli tu
Mshikajii nimekumisi na mimi![]()
![]()
mshikaji
Mshikaji sio kweliIlikuchoma banaa![]()
sema kweli tu
Kwani wereva ina nn? Wote tunatumia jf moja tuEti bora yaendelee hataki kurudi kutumia werevaaaa
Ilimuuma sanaNi utani tuu![]()
![]()
Kuna siku kwenye lipantoniiii la uko kwenu nilikaa na wewe karibu kama nilisikia unamcall swty potato wakat muunganiko wake ndo unatengeneza kiepe buku jeba

Huo utani mtamu sana
Mambo niaje mzee babaShedede niaje
Poa mzima weye,mbona ulimzushia sherehe ya kuzaliwa TWakuu habar za siku mbili hivi?
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu![]()
![]()
![]()
muongo wewe kwanza mie sina goma, mama kanikataza michezo hyo, muulize shunie,we jamaa ni muongo, halaf pale huwa sipandi pantoni, huwa navuka kwa kuogelea...
![]()
![]()
I'm sure we ni Lee empireHiiii mama kwani yeye alikupataje jamaniii mbona anakufundisha roho mbaya![]()
![]()
![]()
ujue hivi viumbe vipo ili tutumikianee sasa wewe naona unatumikishwa
![]()
![]()
![]()
Pole sana ila mama yako nimempenda kwelii yawezekana alikuona tangu utotoni akikuogesha na geisha
Anko, nimeuona mbona na nishafanya mambo tayari. Nitarejea kiurefu kidogo, nilikuwa na mjumbe wa tume ya jinsi ya kuishi na mpenzi mmoja nampa ushauri

MmmmhPoa mzima weye,mbona ulimzushia sherehe ya kuzaliwa T