Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Duh!! Basi aipige chin, nahis setting tuu mie niliitumia kitambo ikanisaidia kichiz, hakuna cha ads wala bibi yake ad.

Duh!! Basi aipige chin, nahis setting tuu mie niliitumia kitambo ikanisaidia kichiz, hakuna cha ads wala bibi yake ad.

Labda wameichakachua..
Anasema hajawahi kuroot simu na anaogopa kurootMwambie ajaribu adblock plus, adway, kuna lucky patcher..
Ila muulize kama simu yake ameiroot au lah!!
Jana umekula sifa kinomaaa kuwa ndo mkomboz wake sasa naona anajutiaaLabda wameichakachua..

Dah.. basi kazi anayo.Anasema hajawahi kuroot simu na anaogopa kuroot
Jana umekula sifa kinomaaa kuwa ndo mkomboz wake sasa naona anajutiaa![]()
![]()
![]()
sifa zangu zilikuchoma eehh!!!
Sifa usifiwee wewe kuchomwa nichomwe mm hapana![]()
![]()
sifa zangu zilikuchoma eehh!!!
Eti bora yaendelee hataki kurudi kutumia werevaaaaDah.. basi kazi anayo.
Sio tabia yangu hiyo
ndo maana mm mwenza wangu namuitaga majina yenye thamani kidogo sio kama hayo yenu ya chocolate na my potatoes wakati dukani ata buku tano haifiki

Sio tabia yangu hiyo![]()
![]()
![]()
ndo maana mm mwenza wangu namuitaga majina yenye thamani kidogo sio kama hayo yenu ya chocolate na my potatoes wakati dukani ata buku tano haifiki
Uliza wangu namthaminisha na yapii![]()
![]()
![]()
we wapi uliona namuita goma langu bei za 250.. au unakujaga kupiga chabo dirishani!!?

Kuna siku kwenye lipantoniiii la uko kwenu nilikaa na wewe karibu kama nilisikia unamcall swty potato wakat muunganiko wake ndo unatengeneza kiepe buku jeba![]()
![]()
we wapi uliona namuita goma langu bei za 250.. au unakujaga kupiga chabo dirishani!!?
![]()
![]()
![]()
Kuna siku kwenye lipantoniiii la uko kwenu nilikaa na wewe karibu kama nilisikia unamcall swty potato wakat muunganiko wake ndo unatengeneza kiepe buku jeba
muongo wewe kwanza mie sina goma, mama kanikataza michezo hyo, muulize shunie,we jamaa ni muongo, halaf pale huwa sipandi pantoni, huwa navuka kwa kuogelea...

Hiiii mama kwani yeye alikupataje jamaniii mbona anakufundisha roho mbaya![]()
![]()
![]()
muongo wewe kwanza mie sina goma, mama kanikataza michezo hyo, muulize shunie,we jamaa ni muongo, halaf pale huwa sipandi pantoni, huwa navuka kwa kuogelea...
![]()
![]()
ujue hivi viumbe vipo ili tutumikianee sasa wewe naona unatumikishwa