Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna siku kwenye lipantoniiii la uko kwenu nilikaa na wewe karibu kama nilisikia unamcall swty potato wakat muunganiko wake ndo unatengeneza kiepe buku jeba
muongo wewe kwanza mie sina goma, mama kanikataza michezo hyo, muulize shunie,we jamaa ni muongo, halaf pale huwa sipandi pantoni, huwa navuka kwa kuogelea...
 
muongo wewe kwanza mie sina goma, mama kanikataza michezo hyo, muulize shunie,we jamaa ni muongo, halaf pale huwa sipandi pantoni, huwa navuka kwa kuogelea...
Hiiii mama kwani yeye alikupataje jamaniii mbona anakufundisha roho mbaya ujue hivi viumbe vipo ili tutumikianee sasa wewe naona unatumikishwa

Pole sana ila mama yako nimempenda kwelii yawezekana alikuona tangu utotoni akikuogesha na geisha
 
69b7aa2597ef135f420d912d2b0d6822.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom