Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Niko mkoani kwenuIleje ni nini
Niko mkoani kwenuIleje ni nini
![]()
![]()
![]()
![]()
Aahhh...Mamamae walahi.. huyo maza mpole angekuwa husna wa obe mtiti wake si mchezo arifi, angedai figo yake.
![]()
![]()
![]()
![]()

Njema mkuuSalama tu, za weekend?
Mbona hujatuma nambaaChief uko poa ??
AbeeeTumosaa
Namba zangu au za shunieMbona hujatuma nambaa
Ee Mungu wangu nakurudishia sifa utukufu na heshima kwa kuwa umenipa kibali cha kuiona siku hii ya leo nikiwa mwenye nguvu na afya njema. Ee Mungu naomba unijalie Kuomba ndani ya moyo wangu kusiko koma maana Neno lako linasema luk 18:1 Akawaambia mfano ya kwamba imewapasa kumuomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa isaya 62 Enyi walinzi wenye kumkumbusha Bwana msikae kimya wala msimwache akae kimya mpaka atakapolifanya imara agano lake, pia tunaambiwa tuombe bila kukoma.Nb Sikia mtu wa Mungu usikate tamaa hata siku moja kabla maombi yako hayajajibiwa ,usiache kumkumbusha Mungu mpaka uhakikishe umepata kile unachohitaji, Mungu wetu ni mwaminifu sana anatusikia na Ahadi zake ni za kweli na Amini ,.nakutakia jumapili njema Nenda ukafanikiwe ,Baraka za Mungu ziwe juu yako .

Tuma no ya whatsapp pm hkoNa mie naombeni mnitumie jaamaani![]()
![]()
Cc ObeNa mayonaise
Kaka kakaaaChikamoo wakubwa wenzangu habari zenu
Wadogo zangu hamjamboo
Asante mkuu Shululu hakika upendo huweka ndugu pamoja kwa amani tumshukuru Mungu kwa upendo huu tumuombe Mungu atuangalie kwa wema na kututunza![]()
![]()

Obe athibitishe hiliUnataka kusema mama mchungaji anakwiba mume ya mtu, siamin hata kwa ak 47 mpaka nione picha..
Eti mama mchungaji ya ukweli haya!!?
ZozoteNamba zangu au za shunie
SawaZozote
Naaaam hbr yakoKaka kakaaa
Salama hbr ya kwetuNaaaam hbr yako