makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,897
- 104,133
Inasikitisha lakini imebidi nicheke
Nthamehe kwa kukuchekesha kwenye taarifa ya kuthikitisha..
Inasikitisha lakini imebidi nicheke
Kwenda huko, uaminifu ndio kabila gani, nioneshe mwaminifu, we mwenyewe mpango wa kando wapo kama 7 hiv, unapiga cr7.
we jitoto mbona jeuriiiLoh makubwaLabda avimbe na apasuke, ndio tutaacha kucheka, maana tena huo utakuwa msiba, atakuwa amekufilia mbali![]()
![]()

Habari ndio hio.. uaminifu hakuna dunia ya sasa.![]()
![]()
we jitoto mbona jeuriii
LabdaKonyo nini!!?
Du huishiwi maneno loh!Domo kama , lodi lofa kakosa kiko amebwia ugoro kwa hisia za kiko..![]()
![]()
![]()
Amen, Asante mama mchungajiWaebrania 10:25 wala tusiache kukusanyika pamoja kama ilivyo desturi ya wengine bali tuonyane na kuzidi kufanya hivyo ...
MBARIKIWE![]()
Kende, mbupu!!Mende
Asante kwa upendo wako kwetu, Mungu akubariki sanaAmina Amani ya BWANA IWE DAIMA NANYI ..NAWAPENDA MJUE![]()
![]()
Itaendelea j3Eheee....endelea tu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nthamehe kwa kukuchekesha kwenye taarifa ya kuthikitisha..
worry outMarhaba, hujambo mkuuChikamoo wakubwa wenzangu habari zenu
Wadogo zangu hamjamboo
Asante sana Mkuu Shululu kwa magazeti,Asante saana Lee kwa unbeliavable facts Mungu awabariki na kuwainua jumapili ikawe ya baraka na kumpendeza Mungu wetu..Mbarikiwe Makapuku wote.
Shalom

We unaishiwa!?Du huishiwi maneno loh!