Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20171008-WA0014.jpg
 
Zaburi 130

1 Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.

2 Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.

3 BWANA, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama?

4 Lakini kwako kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe.

Jpili njema kwetu sote Mbarikiwe
Shukrani mamaa vifungu, ubarikiwe pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom