Morning chiefGood morning kapuku'
Unbeliavable fact zinawajia
Aahhh...Mamamae walahi.. huyo maza mpole angekuwa husna wa obe mtiti wake si mchezo arifi, angedai figo yake.

Chief uko poa ??Morning chief
![]()
![]()
![]()
![]()
Aahhh...Mamamae walahi.. huyo maza mpole angekuwa husna wa obe mtiti wake si mchezo arifi, angedai figo yake.
![]()
![]()
![]()
![]()
AminaZaburi 130
1 Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.
2 Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.
3 BWANA, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama?
4 Lakini kwako kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe.
Jpili njema kwetu sote Mbarikiwe![]()
Shukrani mamaa vifungu, ubarikiwe pia.Zaburi 130
1 Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.
2 Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.
3 BWANA, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama?
4 Lakini kwako kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe.
Jpili njema kwetu sote Mbarikiwe![]()
Huyu si kwenye kampen alisema atakuwa na baraza dogo halijawahi tokea..
Na kwako pia jirani..View attachment 604370Kwa udhamini mnono wa Mama mchungaji BH Nawatakieni jumapili njema Mungu awabariki wote
Niko poa, vp hali chief?Chief uko poa ??
Kupita hata ibilisi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dunia kuna watu wana roho mbaya
Poa mshikajiNimeipokeaa mshikajii
Tumosaa
EmpireLee yupi
...mpendwa, hili kaburi mbona maiti tuliichoma, na majivu ndo vile tena mambo ya gabachori aka baniani. Umeamua kufika pale walipochomea eeh
