mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Nilifikiri unaishia Uyole unitafutie lori hapo nipakilie kahawa yanguNaenda chimala



Nilifikiri unaishia Uyole unitafutie lori hapo nipakilie kahawa yanguNaenda chimala



Kahawa ya kwenda moshi ? Unaitoa wapi ?Nilifikiri unaishia Uyole unitafutie lori hapo nipakilie kahawa yangu![]()
Unaruhusiwa binamu tutaenda wote ibada ya jion....okay, huko mnakoenda kusali ninaruhusiwa kuja na sadaka?
Neno*
Wakolosai 4:6
*6 Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.*
*Tuombe*
Neema na Upendo wa MUNGU Baba, ukawe kwa kila mmoja wetu, na tukiendelea kumtukuza MUNGU wetu, sasa na hata milele, ulinzi wa mwili na roho tunakabidhi kwako MUNGU wetu uliye hai, kupitia kwake Yesu Kristo, Bwana na Mwokozi wetu , hallelujah
*Amina*
SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA![]()

Hahahahahaha Husnaaaa nimecheka mpaka wajukuu wamenizunguka hahahaha

ShikamooUnaishia hapo au unapita tu kuelekea Tukuyu/kyela?
Dada gwiputaUnaruhusiwa binamu tutaenda wote ibada ya jion
Niputile utwa musiughuDada gwiputa
Tununu kalumbu utwa pamulunguNiputile utwa musiughu
Hahahahahaha Husnaaaa nimecheka mpaka wajukuu wamenizunguka hahahaha
umeongeza siku za kuishiMarhabaa mjukuu mwee... Za jumapili?Shikamoo
Yaani Mmbeya halafu hujui kwamba mbeya produces one of the best flavored coffee in the world.?Kahawa ya kwenda moshi ? Unaitoa wapi ?
Tununu kalumbuTununu kalumbu utwa pamulungu