mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Yaani wewe ni wale wanaomini kwamba mjukuu ni spare tyre..... Ha ha ha ha ha ha.... Mimi nafuata maadili bwana.Sawa ila naona unatumia kale kamsemo kanako sema uzee dawa. Maana hamchelewi kuwambia wajukuu zenu bibi yako hayupo njoo ulale huku naogopa peke yangu
Natania tu


