Makapuku Forum

Makapuku Forum

shululu na Tumosa nawasalimia na kuwashukuru kwa magazeti yaliyodhaminiwa na Mndali ndanyelakakomu

Jumapili Njema Makapuku wote, mimi ndo nimerudi nyumbani, nilikuwa kwenye utambulisho wa chupa sita aka six pack
Sisi wazima kabisa mdau Obe, msalimie mpendwa wako najua tu kwenye huo uzinduzi hawezi kukosekana
 
Neno*

Wakolosai 4:6

*6 Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.*

*Tuombe*

Neema na Upendo wa MUNGU Baba, ukawe kwa kila mmoja wetu, na tukiendelea kumtukuza MUNGU wetu, sasa na hata milele, ulinzi wa mwili na roho tunakabidhi kwako MUNGU wetu uliye hai, kupitia kwake Yesu Kristo, Bwana na Mwokozi wetu , hallelujah

*Amina*


SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA
Asante mama mchungaji, nawe ubarikiwe sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom