shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nipo shemelaHata me naona msalimie shemela shululu akija mke mwee
Nipo shemelaHata me naona msalimie shemela shululu akija mke mwee
Veeeep tena jamaaan
Kama Kawa Kama dawa shemelaImefanyaje tena mke mwee unataka kwenda mzalendo kila mishkaki
Nilijua utakuja nikiwa sipo shemelaNipo shemela
1925 - Leon Bourgeois, mwanasiasa Mfaransa, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1920 alifariki
Mwisho
Nzuri kabisa shemela wangu, D na baba yake hawajamboShemela wangu mie jaman za wewe
Mimi niko poa mjukuu wangu.... Speed.Mambo mimi sijui wewe
Sawa shemela wangu mie wa bongo movie kabisa yaan sijui ningekuwa wa bongo movie kama ningejuana na mdogo wake baba d![]()

Wazima sana jaman baba d anawasalimia tu yupo busy sanaNzuri kabisa shemela wangu, D na baba yake hawajambo
Umemchokoza binamuVeeeep tena jamaaan
Bahati nzuri tumeingia pamojaNilijua utakuja nikiwa sipo shemela
Ndo vileeee bongo movie yetu imeendelea shemela ujue tupo Hollywood
Usiniambie shemela hivi nimemchokoza vipi jamanUmemchokoza binamu
Na we tafuta baby pia hujakatazwa na kuliamsha humu kila siku watu wanaliamsha mambo ni yale yale tu hakijabarika kitu kapuku kama bus tu ukishuka wengine wanapanda
MimiUsiniambie shemela hivi nimemchokoza vipi jaman
shemela, ili useme na mimi nimechochea
Mimi![]()
shemela, ili useme na mimi nimechochea






shemela nimecheka kwa sauti ujueHapana we unamwita Obe mkuu ili apaliwe na barukutuImefanyaje tena mke mwee unataka kwenda mzalendo kila mishkaki