...ujue nini, kind annoying kila 'mkongwe' akiingia humu anakuja na songi kama za Liverpool ooh KF ilikuwa moto blah blah blah.
Wapo wakongwe wa kweli humu wakiondoka wakirudi wanarudi na vitu vya kuboresha na sio histohisia. Heshima kwako
shululu kwa kuendelea kuboresha KF.
KF sio mtu au watu ni 'taasisi' well, waliopumzika au kuondoka hawajaondoka na KF ikarudi chini isipokuwa sasa ndo iko juu hadi zinaanzishwa thread kuelezea hatari ya kuiacha iwe na nguvu.
Unataka magazeti
Ibrahim Msuya , hujaona UF, BBC, educative quotes, muziki, sports, nukuu za kiimani, sogozi na kubebishana, hadithi, falsafa and FYI kwa kuwa KF ina kila kitu wasomaji ni wengi hata takwimu zinagoma kupatikana.
Ngoja niendelee kukata Safari baridi hapa nimsikize Mccain anayejisifu kukamatwa mateka wakati waliokamatwa na kuwatoroka watekaji hawapigi ngenga.
Hebu muangalie mjomba wangu, alitekwa na wahamiaji haramu, baadaye akatekwa na Cheusi Mangala, bado akatekwa na Eva, kisha teller wa benki lakini kote anakotekwa anatoroka na kurudi kwa shangazi yangu ninayempenda sana na haya hayamuumizi moyo