Makapuku Forum

Makapuku Forum

ShalloooomShalloooom
Neno LA Jioni
Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.

Rejoice in the Lord always and again I say, Rejoice.

Wafilipi 4:4
Hata kama unapitia magumu kiasi gani we furahi tuu maana ukifurahi unamwonyesha shetani kuwa jaribu alilolileta nalo si kitu kwako..
Ni kama Unakunywa tuu ‍♀‍♀

Usionyeshe huzuni yako !mbele ya maadui zako tena ukiwaona ongeza kicheko ili wakaaibike wenyewe
Kwa jina LA YESU KRISTO Uwe hodari
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno la uzima

Ubarikiwe sana
 
1961 - Julia Gillard, Waziri Mkuu wa Australia (2010-2013) alizaliwa


...alifanikiwa kuiongoza nchi yake na kuongeza sera zilizohimiza masuala ya uzazi, elimu tiba na uhamiaji. Haamini katika uwepo wa Mungu na anawaheshimu sana wanaoamini uwepo wa Mungu, kila mmoja na achoamini. Maamuzi yake ni kutotaka kuzaa watoto, japo sio mtawa.

1490075189436.jpg
 
...alifanikiwa kuiongoza nchi yake na kuongeza sera zilizohimiza masuala ya uzazi, elimu tiba na uhamiaji. Haamini katika uwepo wa Mungu na anawaheshimu sana wanaoamini uwepo wa Mungu, kila mmoja na achoamini. Maamuzi yake ni kutotaka kuzaa watoto, japo sio mtawa.

1490075189436.jpg
Aiseeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom