makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,248
Hivi hizi sabuni bado zipo?
Willy sagnol mfaransa huyu ilikuwa beki mbili ya kutumainiwa national team na munich pale.. alikuwa anamwaga maji safi kichiz...msaidizi wake Willy Sagnol anachukua mikoba ya huyu fundi mwenye historia ya kuvutia iwe UCL, Italy, Spain na EPL
![]()
Hahahaaa......zipo, sema si maarufu sana mikoa isiyopakana na Kenya au Uganda



MadafuJamaa nae kafeli.. japo kakusanya vifwedha vya kuleta jeur bongo..
Akuu.. thidhijui mimi....kuna Family Guest aka Uzunguni au Mlonge guest unazijua hizo?

Ni poa.I am not a boy.
Niaje?
Ndio shida hizi, badala ya kukaza awe top, tayar kalizika sijui hata net worth yake ni ngapi..Madafu
maka we ni mwisho yaan nakuvutia tu picha unavyowabadili badili![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwanin shunie.

Utakuwa wewe ni muumin wa gest sana....kuna Eva, huyu ni mlaini na ananukia uturi mujarab
![]()

Hata mwenzie Samatta nina wasiwasi nae.Ndio shida hizi, badala ya kukaza awe top, tayar kalizika sijui hata net worth yake ni ngapi..
Kipusa changu..
Nakumiss ujueKipusa changu..