Makapuku Forum

Makapuku Forum

990cbcc691bafd8c7b0f758c27d5e77b.jpg
bdb6a315927397e0939acfe63f668edd.jpg
84184cb25f797e817e22138bdeeb07e5.jpg
b79c2d81d29fd2759bb40665e0538662.jpg
 
Kaka sema neno kwa Aggy, wew ni mwanaume, onyesha ukomavu wako kiakili na uvumilivu, aggy naye aliumia kumbe, tena anaumwa kama wewe, sahau yalopita. Mwenzio anaomba msameheane yaishe kaka, sema neno kwake. Nakuheshimu usiniangushe
Mie sina tatizo na aggyjay, ila kwa ujumbe aloandika jana ulinishtua mpaka mke wangu akagundua kama kuna kitu kimenitokea maana mda huo ndo nilikuwa kwenye maandalizi ya kwenda kazini. Nilinyong'onyea kiukweli, ila yameshaisha sasa. Naomba tuwe pamoja tena, tucheke pamoja kama zamani na tuufurahie Ukapuku wetu pamoja.
Upendo utawale kwa wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom