Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aggyjay jamani pole, umemtesa sana kaka Emmy hadi aliamua kuacha kapuku forum! Ili bidi niongee naye chemba ndipo akarudi, kiukweli aliumia sana kukukosa, najua nawe uliumia pia, so nakuomba muombane msamaha yaishe wapendwa, wote mlikosea msiwe na mioyo migumu jamani let love lead

Mi wala sina tatizo my,japo nlikwazika but sasa nshasahau!
Emmyguy usiondoke na kama maneno yangu Yalikukwaza nisamehe!
 
Mi wala sina tatizo my,japo nlikwazika but sasa nshasahau!
Emmyguy usiondoke na kama maneno yangu Yalikukwaza nisamehe!
Emmyguy mwenzako amesamehe na kukutaka usamehe nawe sema neno kaka
Habari ya asubuhi wanafamilia wote!
Mwenzenu naumwa, homa iko inanisumbua sana.
 
fac4a3c5f698fcf7d45ba4890dcc562a.jpg

Nyie acheni uvivu bhana....njooni mchati

......,..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom