Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aggyjay jamani pole, umemtesa sana kaka Emmy hadi aliamua kuacha kapuku forum! Ili bidi niongee naye chemba ndipo akarudi, kiukweli aliumia sana kukukosa, najua nawe uliumia pia, so nakuomba muombane msamaha yaishe wapendwa, wote mlikosea msiwe na mioyo migumu jamani let love lead
Pamoja sana kwa team Makapuku wote.
 
Mi wala sina tatizo my,japo nlikwazika but sasa nshasahau!
Emmyguy usiondoke na kama maneno yangu Yalikukwaza nisamehe!
Emmy upo
Kaka sema neno kwa Aggy, wew ni mwanaume, onyesha ukomavu wako kiakili na uvumilivu, aggy naye aliumia kumbe, tena anaumwa kama wewe, sahau yalopita. Mwenzio anaomba msameheane yaishe kaka, sema neno kwake. Nakuheshimu usiniangushe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom