Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kwa wapenzi wa Jazz, na hasa wanaofuatilia wapiga gitaa zito (bass) basi huyu jamaa (AKA) alikuwa anajua sana kuliburuza gitaa hili. FYI, keshachaguliwa mara tatu katika tuzo za Grammy. Bahati mbaya alikuwa na tatizo la 'vurugu'kwenye akili yake na akajiingiza mkenge kwa jamaa mwenye 'black belt' ya karate, alipigwa na ikapelekea kifo chake..

Asante Husna kwa kunikumbusha gitaa. si unajua segment yangu ilihusu gitaa kabla sijabadilisha gia angani 😀


1.jpg



kuumbeee
 
.....usiendekee kufukua kwa kweli, maana niliona anko na Maka wanasimulia mambo ya gulio la Katerero kule Kanda ya ziwa magharibi. Aunty, na wewe huwa unashiriki Majimaji wars?
Binamu baba yangu hili swali naomba akuje anijibie baba d wangu jaman halaf ujue we upande baba yangu au unajitoa ufahamu nikakusemee kwa mama mchuchu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom