Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zaburi 121

1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?

2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;

4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.

SIKU NJEMA WAPENDWA MUNGU AWABARIKI
d1842d6541d7b587877b257ce479c2af.jpg


Asante sana Mama Mchungaji !!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom