Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kulaneniii vya kwenuBaeleze.. sasa usipokula vya shemej yako ukale vya nani wajameni..
Binadamu wabay..
Kulaneniii vya kwenuBaeleze.. sasa usipokula vya shemej yako ukale vya nani wajameni..
Binadamu wabay..
Uko vizur baba ....acha wakusaidia kupukuchuaa wewe udumbukizeee dubwaaaaa
Zaburi 121
1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.
3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
SIKU NJEMA WAPENDWA MUNGU AWABARIKI![]()
Kwa halii hiii wee endelea kuita shemejii
Naogopa radhi babuu..Tatizooo mama unamuogopa sana ...![]()
![]()
![]()
Hapana nipo kwa dogo s kide..Hutaki kufanya remix ya manfongo
Hizo nongwa sasa..Akya kya kya kya kya kya kya kya kya kya
Ubaya ukute vitamu kuliko vya bwana yuleee
Nani.. obe!?Husna mke wa binamu jamaaaniiii
Alafu kama hao kutana wa kanda ya majiii ileee etii maji![]()
![]()
![]()
Wale walioshindikana ndio napenda mimi.. sio hawa mara mama yupo sijui.. mara oohh hiv siwez, sijui huu uchafu, wanakauli yao oohh.. i feel awkward.. na bla bla kibao.. sitak mambo hayo.
kanda ya ziwaa
Si wanasema nani kama mamaNaogopa radhi babuu..
Mpenda bondeni..Mwenye nyotaaa ya kitumbua
Ndioo kwani hukutambulishwaa??Nani.. obe!?
Lee eehh.. mbona hiv babu, usinifarakanishe na shemej yangu n ndugu shululuKulaneniii vya kwenu
Yaaan akikukosesha kitu ya moneytalk ntakuonaa wa ajabMpenda bondeni..
Sina mpangoo huoLee eehh.. mbona hiv babu, usinifarakanishe na shemej yangu n ndugu shululu
Mnapiga show ya kibabe.. mnafanyana sio unamfanyaAlafu kama hao kutana wa kanda ya majiii ileee etii maji![]()
kanda ya ziwaa
Show inakuwa shooo
Ndio hapo sasa.. ila angekuwa faza kitambo tu nshavunja kiapo..Si wanasema nani kama mama
HapanaNdioo kwani hukutambulishwaa??