Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 91

5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana.

6.Wala tauni ipitayo gizani wala uele uharibuo adhuhuri.

MUNGU AWABARIKI USIKU MWEMA...
Asante sana Mama Mchungaji
676518350e84f6cbe2a934b1604ae707.jpg
 
Kwavile niko single na vigezo lukuki nilidhan ungenipigia debe Shem?anyway km ipo ipo tu cndio eeeh?
Amen
Luka 10:25-37
ZABURI 91

5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana.

6.Wala tauni ipitayo gizani wala uele uharibuo adhuhuri.

MUNGU AWABARIKI USIKU MWEMA...
 
Zaburi 121

1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?

2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;

4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.

SIKU NJEMA WAPENDWA MUNGU AWABARIKI
 
......duh, nimeota ndoto mbaya imebidi nijiulize maswali hizi ndoto nawezaje kuota ilhali maji ya TBL yamefurika melatonin haina ubishi.
Kumbe makaveli10 kaniita 'mkuu', aisee mdau mimi sio mkuu kabisa.

Kwa kuwa nimekueleza naimani sitaota ndoto mbayambaya tena za kuitwa mkuu
Nilijuaa utaotaa binamu na mm nilimkanya kabisa ila hakukanyikaa ...ila pole sana japo sijui uoikuwa na kitu cha boxer au uliota hivo hivo ....

Najua utakuwa mashuka ushayapiga foma make nakujuaa
 
Zaburi 121

1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?

2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;

4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.

SIKU NJEMA WAPENDWA MUNGU AWABARIKI
Ameeeeniii mama ...asante kwa chakula ya asubhi ubarikiwe mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom