Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahahaha, mkongo yupo, kibali cha uimbaji kilipoisha akaomba cha uchezaji, kasajiriwa na Yanga sasa hii timu ina changamoto ya kipesa, bundle linasumbua. labda kwa vile Manji karudi tutamuona tena, au itabidi abadili awe importer wa lile vumbi la Kongo
Hahaha, sasa hivi nasikia kuna vifurushi, mihogo na karanga, sasa akileta vumbi la kongo tapata soko kweli....usawa hhuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom