moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
hi shem
hi shem
...unawajua Waha wewe? Hawa ni mchanganyiko wa Wabembe na Warundi, vita yake mimi ndo ntapoteza maana ni kama wamang'ati na walyanchoka wakipandisha mizuka.
...endelea kumuombea rais, usiniombee mimi kabisa Husna ajue
haya mama mlifichana wapi nyieWoiiiii nasiachiki aisee eti baba d utaniacha jamaan ili watu wakuje kunicheka
Mmmh napita tuMpendeni Bwana ninyi nyote mlio watauwa wake Bwana huwaifadhi waaminifu humlipa atendaye kiburi malipo tele
Iweni hodari mpige moyo konde ninyi nyote mnaonmngoja Bwana![]()
![]()
MBARIKIWE SANA JAMANI NAWAPENDA TU MIMI ILA NAMPENDA BABA D WANGU MIMI ZAIDI MUNGU AZIDI KUNIWEKEA NA KUNILINDIA![]()

Baby achana nae kwanza tymekuja kuwasalimiaa tu ...unajua safar ilivotuchoshaa

I miss you ma love..Poa za wewe
Tumosa tumosa tumosa, mara ngapi hiyoTuna mgeni humu anaitwa moneytalk changamkia fursa
kumbe ndo zake eeehKwenye ubora wako ule ule mke mwee![]()
na kwako pia shemView attachment 593307Asubuhi njema makapuku wote
morningAmani ya yy aliyeweza kutufikisha asubuhi hii tukiwa wazima wa Afyaa aifanye siku yako kua njema..
Good morning Brothers & Sisters..
morning
So do i, miss u tooI miss you ma love..
Hahaha, sasa hivi nasikia kuna vifurushi, mihogo na karanga, sasa akileta vumbi la kongo tapata soko kweli....usawa hhuuHa hahahaha, mkongo yupo, kibali cha uimbaji kilipoisha akaomba cha uchezaji, kasajiriwa na Yanga sasa hii timu ina changamoto ya kipesa, bundle linasumbua. labda kwa vile Manji karudi tutamuona tena, au itabidi abadili awe importer wa lile vumbi la Kongo
ahh, kumbe ulikua hujapata jiko na weweYupi huyo..
So do i, miss u too
jaman sivyo ulivyofikiria shem