Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Sawa babu ubarikiweMambo.. zangu zinanendelea vizuri mjukuu wangu
Sawa babu ubarikiweMambo.. zangu zinanendelea vizuri mjukuu wangu
Poa mzima wwNdio
Habari
Nakugawa bureraha ya kutekana umpate wa kukuteka aisee baba d tukalale baba angu
nikiongea hizo mambo unajua vile najisikia

Tuna mgeni humu anaitwa moneytalk changamkia fursa![]()
![]()
![]()
... Ndio shemej
Ila sasa natafuta wakuniteka ila nisiadimike..
Woyoooooooomama nimecheka sana ujue binamu yangu obe upande binamu upande baba
mkongo jamaan pole

Woyoooooooomama nimecheka sana ujue binamu yangu obe upande binamu upande baba
mkongo jamaan pole
.....unacheka nini? Mbona watu hamna huruma na mie.
Kwenye ubora wako ule ule mke mweeTuna mgeni humu anaitwa moneytalk changamkia fursa


Utanigawa kwa nani mie na wakati nipo na baba d jaman sioni wa kunichukuaNakugawa bure![]()
![]()
![]()
Obe wewe obe ni mmoja tu humu anko wake baba d wangu kwahiyo sasa hivi upande baba upande binamu woooooozaaaaa mama angu nakupenda ujue.....mmmmh;! Huyu Obe anayeongelewa hapa ni yupi? Maana nakuona tu na jitihada zako nzuri za kunipa ugonjwa wa moyo.
Ukijibu nitag

Kipiiiiii binamu baba jamaan.....unacheka nini? Mbona watu hamna huruma na mie.
Anti yangu kashindwa hata kuniandikia wozapu ili iwe mimi na yeye tu. Sasa kitakachonipata ndo furaha yake



Shemela shunie za sikuAwe baba yangu mara ngapi jaman![]()
ndio achaTeh teh teh.. we unataka niache.