Makapuku Forum

Makapuku Forum

....akichoka kula papa unampa nguru au unamgeuza vegetarian unamchumia mboga mboga?

...kwanza sijui nimeandika nini, hivi mnapeana nini?

giphy.gif
 
...ajiue wapi? Namjua mjomba wangu mimi, wakishazika tu kesho anapeleka taarifa bomani ya kufunga ndoa. Anko wangu ni bingwa wa kuyatia majaribu ili asiingie majaribuni
we binamu hivi me na anko wako tukiachana na wewe ndio hao wa kusherehekea na kula pilau
Hahahaa...

Hapo sipo mimi !

Cc Shunie
 
Muziki: Kipenda Roho

Ninakusalimia kapuku mheshimika, yes, wewe tunayeheshimiana sana maana wote tuko kwenye boti moja. Aliyekaa mbele na aliyechagua siti ya mwisho kabisa wote tutafika pamoja. sema nini ujue, wenye kushuka, alokaa mbele ndo hutangulia. na kutokana na sababu hii, kwenye hafla iwe ya kufurahia au msiba huwa sikai siti za mwisho, maana huchelewi kukuta vipande vya matikitimaji na toothpicks tu. Jitahidi uwe unakaa mbele, ila sio mbele sana maana siti za mbele zina watu wao.

mara chache sana huwa inatokea nakuja kuambia 'mzee Obe' karibu siti yako iko kiti cha safu ya mwanzo kabisa, nami naamka natingisha mkono kuangalia saa kama inasoma majira kiusahihi na kubeba samsung galaxy yangu toleo jipya basi najisogeza kuungana na Makapuku wengine walio safu ya mbele kabisa. Leo nasema tu kipenda roho husema hula nyama mbichi, sasa najiuliza, kipenda mwili hula mbogamboga au.

muziki sasa, alivuma na hajawahi kuchosha kuangalia

Binamu santeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom