Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hapana sifukui tena naweza kufwa ujueUnafukuaa makabur au
Hapana sifukui tena naweza kufwa ujueUnafukuaa makabur au
Rudi ukafichwe tena makaHata mie nashkuru kwa hili..![]()
![]()
Ika nmemithi kufichwa.![]()
![]()
![]()
Teh teh teh.. we unataka niache.lol hujaacha tu
Nimeshazoea mie T naona kawaida tuEeeh..
Pole yako
Soma kisa cha nabii ibrahimu ndio utajua uzee si mzuri.hutaki
Muziki: Kipenda Roho
Ninakusalimia kapuku mheshimika, yes, wewe tunayeheshimiana sana maana wote tuko kwenye boti moja. Aliyekaa mbele na aliyechagua siti ya mwisho kabisa wote tutafika pamoja. sema nini ujue, wenye kushuka, alokaa mbele ndo hutangulia. na kutokana na sababu hii, kwenye hafla iwe ya kufurahia au msiba huwa sikai siti za mwisho, maana huchelewi kukuta vipande vya matikitimaji na toothpicks tu. Jitahidi uwe unakaa mbele, ila sio mbele sana maana siti za mbele zina watu wao.
mara chache sana huwa inatokea nakuja kuambia 'mzee Obe' karibu siti yako iko kiti cha safu ya mwanzo kabisa, nami naamka natingisha mkono kuangalia saa kama inasoma majira kiusahihi na kubeba samsung galaxy yangu toleo jipya basi najisogeza kuungana na Makapuku wengine walio safu ya mbele kabisa. Leo nasema tu kipenda roho husema hula nyama mbichi, sasa najiuliza, kipenda mwili hula mbogamboga au.
muziki sasa, alivuma na hajawahi kuchosha kuangalia
Tutaondoka mda si mrefu babeBaby achana nae kwanza tymekuja kuwasalimiaa tu ...unajua safar ilivotuchoshaa
Najua umechokaa na safar ...ila ngoja tujitahd tuwemo jukwaan
Niajeee mkuu
Wife sijui unamsimuliaga nn make kuna kipindi huwa anakuuliziaa










Nzuriiii
Kesho tunakunywaa bia na kuimba wimbo wetu ..make hizi siku naonja sinywiiii...
Kuzimu hakuna bia ....











Mkuu vipi..Wakuuu
Safi namshkuru mwenyezj mungu..
SimuelewHivi binamu yako ananitafuta nini mimi
Za mimi salama tuu.. sijui ww ndugu yangu..Maka za wewe miss u jaman huko ulikotekwa ni kwema jamaan
Nawasalimia tu mimi jamaan katika jina la Bwana Yesu kristo![]()

Mama vifunguuMpendeni Bwana ninyi nyote mlio watauwa wake Bwana huwaifadhi waaminifu humlipa atendaye kiburi malipo tele
Iweni hodari mpige moyo konde ninyi nyote mnaonmngoja Bwana![]()
![]()
MBARIKIWE SANA JAMANI NAWAPENDA TU MIMI ILA NAMPENDA BABA D WANGU MIMI ZAIDI MUNGU AZIDI KUNIWEKEA NA KUNILINDIA![]()