Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Kamjibuje jamaniKuweka sala si umeona mumeo alivyomjibu moneytalk
Kamjibuje jamaniKuweka sala si umeona mumeo alivyomjibu moneytalk
sijawahi kuona wala kusikia maneno kama haya ujue
Shemela umeona hapo moneytalk alinijibu mimi alivyoona sala ukaja kumquote hivyoShemela angalia vizuri, sio sala
Na nyie basi msituchokoze jamaanNdo umuonye mkewe lasivyo ctamvumilia kwa kweli
Niko poa, jiandae twende kwenye mishikaki my love
unajua vile nachanganyikiwaga na out za kwenye mishikaki,ngoja nijiandae fasta
Afadhali shem, nawe ujionee
Kamjibuje jamani
![]()
![]()
![]()
unajua vile nachanganyikiwaga na out za kwenye mishikaki,ngoja nijiandae fasta













Nisamehe shemela wangu shunieShemela umeona hapo moneytalk alinijibu mimi alivyoona sala ukaja kumquote hivyo
Ewaaaaa hapo sawa shemela nimekusamehe mngemsubiri mama mchuchu mpaka arudi sijui lini mama anarudi mana aliniambia nimwambie binamu obe na yeye amnunulie galaxy ili arudi kapukuNisamehe shemela wangu shunie
Afadhali shem, nawe ujionee
hili kwangu nalo pia ni maajabu 7 yadunia
Namuonaa tuBinamu wewe jaman![]()
![]()
Kisa nakemea uongoAendelee na tabia yke tutaonana wabaya ujue
![]()
![]()
hili kwangu nalo pia ni maajabu 7 yadunia
wenzio tunamtegemea mtawa mtarajiwa huyo,akiachika tu anaenda utawani so anafanya mazoezi
Na hawez kuachikaa ...kisebusebu chako na roho mbayaa yako ushindweee![]()
![]()
![]()
wenzio tunamtegemea mtawa mtarajiwa huyo,akiachika tu anaenda utawani so anafanya mazoezi
Ukimpeleka na me niwepo ujue mambo ya kumpima kojo mume wa mtu bila mkewe kutokuepo si vizuri

Mmmh hata wewe mamiiHajui ujue anajionea mageni kabisa
Ukienda tu kwenye makinikia cjui mama Ashura na mateller namcindikiza kuomba taraka mahakamaniNa hawez kuachikaa ...kisebusebu chako na roho mbayaa yako ushindweee