Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Vp kwema lakiniKaaah!
Kumbe mle mle tuu
Poa mi nakutakie mapambano mema na maishaWakati mwingine mambo yanakuwa mengi so humu huwa nachungulia tu
Pitia home basiVp kwema lakini
Poa mi nakutakie mapambano mema na maisha
salmia familiaAsante ila niko mbali na familia![]()
![]()
![]()
salmia familia
Shukrani,Sakayo hajamboPitia home basi
Kuna wine ya kaka shululu, umpelekeeShukrani,Sakayo hajambo
Sijambo Tumosa. Siku yako inaendeleaje? Tumshukuru MunguHbr ya cku Shimba








Nashukuru ntaipitia shemelaKuna wine ya kaka shululu, umpelekee
Siku yngu imeenda vema ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kweliSijambo Tumosa. Siku yako inaendeleaje? Tumshukuru Mungu![]()
Safi kaka akee za weweHabari za humu ndani
Kwahiyo we marioo mkuu
Kwa upande wangu ni nzur sana mungu amenipa nafasi ya uhaiSafi kaka akee za wewe
Shimbaaaaaaaa..........ya buyenze( kwa sauti ya kibenzi)Sijambo Tumosa. Siku yako inaendeleaje? Tumshukuru Mungu![]()