Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Nipo, majukumu tuwewe mrembo upo?
Nipo, majukumu tuwewe mrembo upo?
Mi ndo nimetupia hiyo moja kwa kumquote kapuku na sitegemei kurudi kule kwa njia ya maandishiComment 1 inawatosha hakuna haja mtu kucomment MORE THAN ONCE ....ni kuupaisha Uzi wao bila 7bu
Unacomment once zen unakuwa mtazamaji tu
![]()
![]()
![]()
![]()
......................
Binafsi mimi ni mzima, habari za mishe mishe za hapa na pale?
Cc youngbloodComment 1 inawatosha hakuna haja mtu kucomment MORE THAN ONCE ....ni kuupaisha Uzi wao bila 7bu
Unacomment once zen unakuwa mtazamaji tu
![]()
![]()
![]()
![]()
......................
Tatizo sikuhizi nawewe umekuwa unaonekana kwa nadra sanaBinafsi mimi ni mzima, habari za mishe mishe za hapa na pale?
huyo ni jipu kk
Anayecomment MORE THAN ONCE kwenye ule uzi unakaushia KULIKE hizo post pia....ni usumbufu tuMi ndo ninetupia hiyo moja kwa kumquote kapuku na sitegemei kurudi kule kwa njia ya maandishi
Yes,nakumiss sana,hasa nikikumbuka nyakati za dhahabu tulizo enjoy pamoja...I really appreciate you my X..lolKumbe wanimiss
Thats how it is and tunafurahi kuwa kwenye ile top 20 Makapuku wameshine vibaya mnoooMjumbe Hauwawi !!!, youngblood had more Likes than any JF Member as of 5/5/2016 10:47 AM ... Makapuku Leads the List
Ì
Yes,nakumiss sana,hasa nikikumbuka nyakati za dhahabu tulizo enjoy pamoja...I really appreciate you my X..lol

Kuja bathi jamani!Ì
Yes,nakumiss sana,hasa nikikumbuka nyakati za dhahabu tulizo enjoy pamoja...I really appreciate you my X..lol
Asante kwa ujumbe baba mtumishi...lol,nisamehe X wangu.Hii ndiyo picha halisi inayotokea kwa mahusiano, mmoja anarusha neno baya kwa utani na mwenzie anaumia. Anatamani kuona mwenzie atajutia aombe msamaha, huku mwingine anataka kuona anabembelezwa, mwisho wa siku asipotokea mmoja wa kushuka...mahusiano ndo yamekwenda na maji...tunataniana lakini ktk vitu halisi vinavyotokea ktk jamii, jifunze kitu hapa
Cc
Emmyguy
Aggyjay
Patience123
Huku mambo yako vizuri kabisa.daah kwema mzee, michakato inaendaje pande hizo?
Hahaha.
ok, uwe na mchana mwema.Nipo, majukumu tu
Nimekusoma sister.
ok..mkuu uwe na siku njema.Huku mambo yako vizuri kabisa.
Kimvua kwa mbaaaali
Pamoja sanaaaNimekusoma sister.
Asante sana mkuu, nawe pia mchana mwema na siku njema piaok, uwe na mchana mwema.