Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Kijana ana wenge sana.Huyu kijana haeleweki, inaelekea hajui kusoma vizuri, jambilo yeye kasoma john
Kijana ana wenge sana.Huyu kijana haeleweki, inaelekea hajui kusoma vizuri, jambilo yeye kasoma john
Binafsi mimi ni mzima, habari za mishe mishe za hapa na pale?
Jana mambo yalikuwa mengi nikajikuta usingizi nao unanizidi ikabidi niuruhusu
Wee nae kibokoPumzika bwana usije ukapata Fatigue.
Mimi jana nimekesha mwenyewe hapa.
yani uko alone na bado unakomaa mwanzo mwisho???Wee nae kibokoyani uko alone na bado unakomaa mwanzo mwisho???
![]()
Mkuu haya uliyatoa wapi au uko jirani na hii family!
![]()
aksante.
Ooh hapo sawaHapana, nilikuwa nasoma post za mchana kwenye majukwaa mbali mbali.
Je ve bien mkuu, vip kwako!Mchungaji umeamkaje mkuu.
Basi potezea manake nimekwambia useme zawadi gani naona unajishtukia ndo basi tenaaaNikichagua utanipa dada!
Ongeza juhudi tu...... Hakuna linaloshindikanaWamenitamanisha.
Mimi niko vizuri kabisa bro.Je ve bien mkuu, vip kwako!
Asante sana kaka.... Mi penda wewe zaidi kaka langu la ukweliJimena;;;utabaki kuwa dadake nikupendaye sana
Nipe ile zawadi niipendayeBasi potezea manake nimekwambia useme zawadi gani naona unajishtukia ndo basi tenaaa
Kijana ibrahim msuya hueleweki!
John ni nani hapa?
Umesomea wapi wewe!
Mbona upo upo tu!
Kitambi bila hata elimu ya std 7 ni sawa na mimba kijana

Ayaaaa, uwiiiiAsante sana kaka.... Mi penda wewe zaidi kaka langu la ukweli

Shem langu hiloo

Wewe huna pacha wako tufanye mpango!!?Ongeza juhudi tu...... Hakuna linaloshindikana
Yeah! Mambo shemShem langu hiloo![]()
Too lateNipe ile zawadi niipendaye