Makapuku Forum

Makapuku Forum

77a80a6c4fa59b657035795eaeec0a49.jpg
 
Ubaya haulipwi kwa ubaya.
Ubaya kwa uzuri tu kaka
Hii ndiyo picha halisi inayotokea kwa mahusiano, mmoja anarusha neno baya kwa utani na mwenzie anaumia. Anatamani kuona mwenzie atajutia aombe msamaha, huku mwingine anataka kuona anabembelezwa, mwisho wa siku asipotokea mmoja wa kushuka...mahusiano ndo yamekwenda na maji...tunataniana lakini ktk vitu halisi vinavyotokea ktk jamii, jifunze kitu hapa
Cc
Emmyguy
Aggyjay
Patience123
 
Hii ndiyo picha halisi inayotokea kwa mahusiano, mmoja anarusha neno baya kwa utani na mwenzie anaumia. Anatamani kuona mwenzie atajutia aombe msamaha, huku mwingine anataka kuona anabembelezwa, mwisho wa siku asipotokea mmoja wa kushuka...mahusiano ndo yamekwenda na maji...tunataniana lakini ktk vitu halisi vinavyotokea ktk jamii, jifunze kitu hapa
Ni kweli kabisa kaka. Hayo mambo yapo sana katika jamii zetu
 
Hii ndiyo picha halisi inayotokea kwa mahusiano, mmoja anarusha neno baya kwa utani na mwenzie anaumia. Anatamani kuona mwenzie atajutia aombe msamaha, huku mwingine anataka kuona anabembelezwa, mwisho wa siku asipotokea mmoja wa kushuka...mahusiano ndo yamekwenda na maji...tunataniana lakini ktk vitu halisi vinavyotokea ktk jamii, jifunze kitu hapa
Cc
EMMYGUY
aggyjay
Patience123
Hivi vitu vipo sana katika jamii tunazoishi, hata ndo maana ndoa za sasa zimekoswa sana staha. Kila mwenzi anajaribu kutengeneza mazingira ya yeye kuwa ndo kichwa na kujikuta mnaleta tafrani na kupelekea hata ndoa kuvunjika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom