Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Jamani mpo?
Kwasasa wanapumulia pale kwenye mapost mengi tu......
Kwingine wanaanzia wapi kwa mfano??
Asante emmyguyBest aggyjay sikujua kama utachukulia serious kiasi kile, labda niseme ni matani tu kuzidi. Hata nilivyopost kule kwangu niliichukulia kama only joking, nsamehe kama ntakuwa nimekukwaza.
Mpaka nimeogopa nilikuta umetuma hapa ujumbe wako, nimepata aibu kwa kuhisi kama nimedharirika kwa kuonekana nimekumention kwa ile post. Hata tangu nimejiunga hapa jf sijawahi kumfata PM mwanamke yeyote, maana mie ni mtu ninayejitambua na niko na familia yangu hivyo siwezi hata siku moja kuidhalilisha familia yangu.
Nisamehe bure mamaa aggyjay, na wala sijadhamiria. Mimi siko hivyo kama ulivyodhani, na wewe ni mtu wa kwanza kumkwaza hapa jf tangu nimejiunga sijawahi kuona mtu kanitusi wala kunisemea vibaya.
Pole kwa yaliyokukuta huko nyuma, amini kwamba hiyo ni mitihani ya kidunia. Muombe Mungu atakusaidia.
Acha twende![]()
Nendeni mkagonge LIKE post yangu kuonesha umoja wetu
Wapo hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
.................

Tuuuuuuuupooo(kwa sauti ya joti)Jamani mpo?
Mi mzimaaa ndugu vipi weweHabari ya wewe boss
Utarogwa wewe, jiangalie.Ndio nmefumba jicho moja..... Moja napitia comments za Emmguy....
Walijaribu wengi wameshindwa, kila wakienda kwa Mganga Wana ambiwa jamaa kafarik kitamboUtarogwa wewe, jiangalie.
Ni mukidi mukide....VP huko shikid shikideMi mzimaaa ndugu vipi wewe
Pamoja sana.Asante emmyguy
Peace & LoveAsante emmyguy
Mnaniangusha
Nimeshadondosha
kwenye comment yako kisha nikasepa zangu kimya kimyaLike ni pale alipoandika bitoz jamani sio uzi wote lolMnaniangusha
Kagongeni kwanza LIKE
............................................
20 most Influential JF members 2016
.............................................
halafu mrudi muendelee kupiga story
.......