Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huduma zako nazikumbuka ila leo thitakiiii bee (wahehe wanasema akuuuuuu ndemaaaa)
Manuu shem ananituhumu mimi muongo hebu soma hapo juu, anamwambia Youngblood kuwa anazikubali HUDUMA ZAKE unajua ni huduma gani?
Shem akibisha narusha mkanda mzima hewani labda aje pm talizane
Baby usimsikilze jambilo amekumbwa na roho ya uchonganishi na anahitaji Masada WA maombi hata KABUGHA aliishuhudia hii kitu jana

youngblood anakuheshim sana my
 
Ni kweli usemayo my dear..Ndiyo maana nilimuomba uthibitisho tu na akakimbia labda alijua nita-overreact ila nilivyomrudia mwenyewe na sababu hana ushahidi amekula kuna...Nakupenda sana honey na kwa uzuri wako naamini wengi watakutaka ila nakuamini sana kwamba majaribu yote utayavuka kwa ajili ya heshima ya ndoa yetu..
Soma post #26851 nimeambatanisha ushahidi
 
Ni kweli usemayo my dear..Ndiyo maana nilimuomba uthibitisho tu na akakimbia labda alijua nita-overreact ila nilivyomrudia mwenyewe na sababu hana ushahidi amekula kuna...Nakupenda sana honey na kwa uzuri wako naamini wengi watakutaka ila nakuamini sana kwamba majaribu yote utayavuka kwa ajili ya heshima ya ndoa yetu..
Soma post26851
 
Manuu shem ananituhumu mimi muongo hebu soma hapo juu, anamwambia Youngblood kuwa anazikubali HUDUMA ZAKE unajua ni huduma gani?
Shem akibisha narusha mkanda mzima hewani labda aje pm talizane
Shem Kwanza wewe unajua Kuna aina ngap za huduma katika dunia hii??

Hebu ntajie huduma mbili tu...
Halafu niambie we ulifikiria ni huduma gan youngblood alinpa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom