Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sijaona ujueHivi nimekutumia msg ujue au haujasoma na kama umesoma kama nakuona huko unacheka sana
Sijaona ujueHivi nimekutumia msg ujue au haujasoma na kama umesoma kama nakuona huko unacheka sana
Hallelujah....Amina shem...
Watu wangeelewa maana ya kupenda ...
Wangependa kweli..! Maisha ni mazuri sana kama kuna upendo wa ukweli
Hilo cheko veepeHahaaaa![]()
We unataka kuharibu sasa, hebu Ntokee hapa na kitenge chakoDaah shem leo umelalia upande upiii jaman naomba agiza kinywaji chochote bill ije kwangu T
Najua T... Mie pia Nakupenda ujueSiwezi kuacha kukupenda sakayo..
Hata iwe vipi yaani
Kula heenajiskia kula tuuu mda wote jaman
Nakunywa maji ya kilimanjaro hapa shem..Daah shem leo umelalia upande upiii jaman naomba agiza kinywaji chochote bill ije kwangu T
MmmmhNakunywa maji ya kilimanjaro hapa shem..
Wanauza 3000/= , ila nakunywa chupa moja tuu.
Amina..Hallelujah....
Hili cheko si ndo lilikuvuruga hadi unazama kwa T..Hilo cheko veepe
Hahahanajiskia kula tuuu mda wote jaman
Unaniforce nikudanganye mjukuu wangu.Lakini enzi za ujana wako ulikua unacheza wa mashindano babu inaonekana mtu wa mazoezi wewe
Uko Sawaaaa kweeeli... Usije badili gia angani Uwe padiriAmina..
Nimelimiss ujue.. Bendera veepe au ulikunywa maji yakeHili cheko si ndo lilikuvuruga hadi unazama kwa T..
Love is everything...Kwa nini?
Madame S
Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya

Marhabbaaa... Hujambo mjukuu mweeCjambo shikamoo
Nipo apa mimi nasubiria kwaito jamanSiwezi kuacha kukupenda sakayo..
Hata iwe vipi yaani
HahahaUnaniforce nikudanganye mjukuu wangu.