Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya

Basi nawaambia kila neno lisilo maan watakalolinena wanadamu watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu

Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa

MATHAYO 12:35-37

Wapendwa tuwe makini sana na maneno tutamkayo

Niwatakie usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu nawapenda sana mimi Mungu azidi kutuweka tu jaman
Amen.... Nawe pia mdogo wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom