Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
NakumissMguno veep dada
NakumissMguno veep dada
Ila Dada tutake radhi tu jaman Baba D hajawai vaa kitenge ila ngoja nijaribu kama atapenda nivae nae sare kitange navaaga mie tuSamahani mdogo wangu... Kikibaki kitenge mnikumbukemo na miee
HahahaMida hii jaman nimemmiss maka jaman
Akiii tungekuwa tunacheka sana aiseeHahaha
Maka eeehh
HahahaIla Dada tutake radhi tu jaman Baba D hajawai vaa kitenge ila ngoja nijaribu kama atapenda nivae nae sare kitange navaaga mie tu
Heheeemfyuuu zako na mguno wako nakuelewa sana ujue
Kwani hapa hucheki... MuoneeAkiii tungekuwa tunacheka sana aisee
Hivi nimekutumia msg ujue au haujasoma na kama umesoma kama nakuona huko unacheka sanaHeheee
Hujaivisha tuuu
Mwenyewe... Muonee na sare zenumfyuuuu zako
Amina shem...Asante T jaman umeongea kwa hisia wachache watakaokuelewa wenye kuchezea mioyo ya wenzao
Baba jj huyooo
Daah shem leo umelalia upande upiii jaman naomba agiza kinywaji chochote bill ije kwangu TAmina shem...
Watu wangeelewa maana ya kupenda ...
Wangependa kweli..! Maisha ni mazuri sana kama kuna upendo wa ukweli
Na Japan wanafanya kazi masaa 14 kwa siku, huku kwetu ni masaa 8 tu4/Japan![]()
![]()
![]()
Aliyebuni bendera yao anaweza kuwa mbunifu mvivu kuliko wote duniani nafikiri alikuwa keshapiga maji wakati anachora
Huku Bongo katika nagari 10 ya usafiri binafsi 8 yanaweza kuwa ni TOYOTA yaani wamelikamata soko la bongo
Avhana na Toyota vipi kuhusu Suzuki,Honda,Toshiba n.k ?
Pale EPL wajapan ndio waliowadhamini Chelsea kupitia matairi ya Yokohama.....wazee wa viwanda
Viwanda huzalisha na kuchangia USD 1,000 Bilioni ambayo ni 20% ya GDP
Hulipa kodi ya 33%
........