Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Japan
86489cb12762ec148d1f4c0a08930d26.jpg
88415f93fe104190f475153d67fca31e.jpg
8b360df73259e57797e069202d111f8f.jpg

Aliyebuni bendera yao anaweza kuwa mbunifu mvivu kuliko wote duniani nafikiri alikuwa keshapiga maji wakati anachora
Huku Bongo katika nagari 10 ya usafiri binafsi 8 yanaweza kuwa ni TOYOTA yaani wamelikamata soko la bongo
Avhana na Toyota vipi kuhusu Suzuki,Honda,Toshiba n.k ?
Pale EPL wajapan ndio waliowadhamini Chelsea kupitia matairi ya Yokohama.....wazee wa viwanda
Viwanda huzalisha na kuchangia USD 1,000 Bilioni ambayo ni 20% ya GDP
Hulipa kodi ya 33%
........
Na Japan wanafanya kazi masaa 14 kwa siku, huku kwetu ni masaa 8 tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom