Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha
Napitiaga changamotoo saana.... Ila nina msimamo ka panya Road
Yeah changamoto lazima dada mara upo na bae ye mnywaji wewe tena mwendo wa fanta au redbull mtaanza kubembelezana hapo onja kidogo basi au nikuagizie wine kama hauna misimamo yako ndio hivyo tena unaingia kwenye chama kidogo kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom