Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Germany
1da05e61420a03426cd7bdf1e0042c75.jpg
ca0d0fe8483760f863224f4053bf73fe.jpg
90099033af9778a074c738f9c10636cb.jpg

Mfalme wa Madikteta duniani Adolf Hitler alipoingia madarakani kuiongoza Ujerumani alishangaa kuwaona Wajerumani wanahangaika kuendesha vibaiskeli na kujisikia uchungu licha ya kuwa na roho mbaya akajiapiza kwamba ni lazima kila Mjerumani aringie gari
Sasa hapo ndio chimbuko la Volkswagen sisi huku kwa dharau tunayaita mgongo wa chura wakati hatuna hata kiwanda cha kutengeneza baiskeli
Ndivyo Hitler alovyoanza kuipaisha Ujerumani kwa uchumi wa viwanda
Vipi kuhusu Adidas & Puma ambao wametawala uzalishaji wa vifaa vya michezo
Viwanda huzalisha bidhaa na kuiingizia Ujerumani USD 7 Bilioni
Nchini Ujerumani wafanyakazi wa viwandani wanagharimu wastani wa USD 40 kwa saa
Kodi inayotozwa viwanda ni 33%
.......
 
2/United States
5b33e04e8d4b80a22a7d1ac88a1ed242.jpg
d0e85b0a287455c575953fbd6148e22d.jpg
fa6b775bc41d4f21bcc72aacc30c00ac.jpg

Yule mtu anayependa sifa humu Jf kwa kujitangaza yupo Marekani nasikia anabeba maboksi na kufagia kwenye kiwanda kimoja huko Detroit cha kutengeneza bikini....ni mchapakazi balaa
Wakati Donald Trump akija na sera uchwara ya kubana matumizi basi uelewe ataviathiri viwanda huko
Hawa jamaa hujitengenezea wenyewe hadi vifaa vya kijeshi kisha ututangazia vina thamani ya mabilioni ya shilingi !!
Wanarekani wapo vizuri suala la viwanda kivitendo zaidi
Wafanyakazi hulipwa/hugharimu wasyani wa USD 37 kwa saa
Uzalishaji viwandani huchangia USD 1,800 Bilioni sawa na 12% ya GDP
Corporate tax ni ya 40%
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom