Muziki: Sijakusahau
Nikushukuru sana mdau na Kapuku wa nguvu, well, unaweza ukajiuliza nakushukuru kwa nini.! Usikonde, nakushukuru sababu upo na unalifanya Jukwaa hili kuwa bora kabisa.
Anyway, sijarudi kikamilifu bado, pamoja na hayo bado ninapata muda wa kusoma na kuangusha 'like'kwa sababu tunalaikiana, au sio. Nakushukuru
shululu kwa kuweka muziki kama ilivyo kwa
Bitoz , asanteni wadau. Ninawakumbuka sana
lee empire ,
Shunie , kipenzi changu
husna muba , mtaasisi
Nyagei ,
Tumosa ,
Clkey ,
BlessedHope ,
dingimtoto ,
mzeewakungoa ,
Madame S ,
Transcend ,
SHIMBA YA BUYENZE ,
koncho77 ,
Sakayo ,
Mkushi wa kusi ,
Mndali ndanyelakakomu ,
Curious gal ,
demi ,
Mussolin5 ,
werrason ,
makaveli10 ,
Jimena na wewe msomaji na shabiki wa KF.
Muziki sasa, ulishajipa muda wa kutembea mtaani na ukakutana na wale myuzishani wa kitaa, hawana band ila wanaimba nyimbo unazozijua. Wengi wao hupiga gitaa na kigoma au zeze, marimba na vitu kama hivyo. Ukiwa hujawahi sio ishu maana muziki utakukuta popote ulipo na ndo tutawaangalia jamaa hawa kwa leo. Much love na tambua kabisa bila wewe jukwaa hili lisingekuwa bora lilivyo sasa