Nikushukuru sana mdau na Kapuku wa nguvu, well, unaweza ukajiuliza nakushukuru kwa nini.! Usikonde, nakushukuru sababu upo na unalifanya Jukwaa hili kuwa bora kabisa.
Muziki sasa, ulishajipa muda wa kutembea mtaani na ukakutana na wale myuzishani wa kitaa, hawana band ila wanaimba nyimbo unazozijua. Wengi wao hupiga gitaa na kigoma au zeze, marimba na vitu kama hivyo. Ukiwa hujawahi sio ishu maana muziki utakukuta popote ulipo na ndo tutawaangalia jamaa hawa kwa leo. Much love na tambua kabisa bila wewe jukwaa hili lisingekuwa bora lilivyo sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.