Hahaa.. hv wee ulizaliwa njiti eeh au miez 12 km jack chain..Nataka kupima kojo la marehemu
Picha imesema mtu ambae jina lake litaanza na herufi s akununulie pizza akanambia me madame s nimnunulie nikamjibu hapana langu linaanza na m
Madame S
![]()
![]()
![]()
Anankataza ila nataka niibie, c unajua uchupa ulivyo nux![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.

Bas shunie inamuhusu..Picha imesema mtu ambae jina lake litaanza na herufi s akununulie pizza akanambia me madame s nimnunulie nikamjibu hapana langu linaanza na m
Madame S
Hao bado hawajastaafu watarudi tu kudukuaNamba 2.
Lulz Security,
Hili lilikuwa ni group la hackers ambalo limekiwa likifanya udukuzi kwenye mitandao mikubwa .
Lulz Security wamemia computer za FBI nchini marekani , CIA nchini marekani , Scotland Yard, sony na News international ma mitandao midogo midogo mingi.
Hawa walikuwa wanavamia computer na kiweka ujumbe wa " Laughing at your security since 2011!" Wakimaanisha "Tunacheka usalama wa mtandao wako toka 2011"
Mwisho na vunja mwaka wakaamua kudukua jarida la The Sun na The Times kitangaza kustaafu kwao katika kazi za udukuzi wa mitandao ..
![]()
![]()
Bas shunie inamuhusu..
Shunie ukuje kunnulia pizza huku best
Tycoon MAKAVELI Jr.




na kweliNzuriHabarini za mchana wapendwa
Huyo labda wamchukue wakamsutie kwa malkia elizabeti au kwenye kambi ya jeshi ndio ataona mapya, ila kwa mtaan hamna jipya.. mbagala charambe, kiburugwa, rangi 3, chamazi kote huko wanamjua kwa umbea wake
Tycoon MAKAVELI Jr.

Unasubir nin, kipigie kelele za ujambakuzi.. watu wakitoeKumbe ni kajizi kale bwanaa![]()
![]()
Nafasi ya upendleoKwann mie umenandika Mara 2?!
![]()