Tuwe na mwanzo mwema wa wiki Mungu atuongoze kwa kila jambo
Miss u mnooooo binamu yangu kivuruge husna ameshakuacha binamu bitoz anammiliki mama mchuchu anakusalimia sanaaaaaa...inakaribia kukamilika, asante kwa kuuliza. Nimekumiss, well, nimemmiss sana husna muba , kuna jipya?
Kuna jipya, maana ya mungu mengi unaweza kuta nimeachika hivi hivi
Ulifikisha salamu zangu za dhati kwa BlessedHope
Asante asante TAiseee!
Pole na Hongera lakini.
Mwenyewe nimeshtuka ujue....Mmh dada sakayo ebu ukuje apa inafanana na ile kweliii![]()
Ameen Baba D
Tuwe na mwanzo mwema wa wiki Mungu atuongoze kwa kila jambo
Mungu azii kukulinda
HabariShemela shululu ukuje amka uniletee magazeti mie
Nzuri bana hivi dada jana ndio ukafayaje lakiniHabari
Niliacha Simu online ujue... Mpaka saivi ndo nakuta nimelala jf...
Dada ebu niambie ukweli jaman kuhusu jana yale yalikua ni madeko eenh mana kama kuumwa najua text ambazo ningetumiwa ujue nakufahamuNiliacha Simu online ujue... Mpaka saivi ndo nakuta nimelala jf...
Kuna muda nilikuita uje kapuku... Ni kwamba naogopa tuu yaaani Sijui kwa nini, yawezekana ni Ugonjwa ujue... Nahisi kama kuna kitu naogopa lakinii sikielewi... Mwanzo nilidhani kawaida ila muda ulivyo zidi ndo nilikuwa napata hofu zaidi.. Nilisali mnoo lakinii wapi ikabidi nimtafute Doctor.....Dada ebu niambie ukweli jaman kuhusu jana yale yalikua ni madeko eenh mana kama kuumwa najua text ambazo ningetumiwa ujue nakufahamu
Aisee pole sana dada inabidi ukiona hiyo hali sali sana na kemea sana yaan sana ni pepo hilo Mungu akusaidie jaman vipi lakini unaendeleajeKuna muda nilikuita uje kapuku... Ni kwamba naogopa tuu yaaani Sijui kwa nini, yawezekana ni Ugonjwa ujue... Nahisi kama kuna kitu naogopa lakinii sikielewi... Mwanzo nilidhani kawaida ila muda ulivyo zidi ndo nilikuwa napata hofu zaidi.. Nilisali mnoo lakinii wapi ikabidi nimtafute Doctor.....
We acha tuu... Mpaka saivi naogopa tuuNzuri bana hivi dada jana ndio ukafayaje lakini
Ujue unaniogopesha dada lakini uzuri nyumbani haupo peke yako ni nini unakionaWe acha tuu... Mpaka saivi naogopa tuu
Nipo tuu Nataka nijiandae niende job....Aisee pole sana dada inabidi ukiona hiyo hali sali sana na kemea sana yaan sana ni pepo hilo Mungu akusaidie jaman vipi lakini unaendeleaje